CHADEMA yafutika kwenye ramani ya Serengeti

CHADEMA yafutika kwenye ramani ya Serengeti

Sisi tunashauri tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi tu.
Hata kukiwa kuna tume huru na watu wakashinda kihalali lakini wanakuja kushawishiwa kwa pesa kisha wanawasaliti wapiga kura hiyo itasaidia nini?

Utasema chama kitaweka mtu mwingine lakini nae akinunuliwa tutarudia uchaguzi mara ngapi na kwa gharama ya nani?
 
Ha
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM.

Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM.

Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.
Hao wanaweza kuwa malaya wa siasa kama alivyosema baba wa taifa mwalimu J. K Nyerere mwaka 1967. Inakuwaje mtu uliyeaminiwa na wananchi unafanya upuuzi kama huu?
 
Huo mkutano wa leo ulioitishwa na mkuu wa mkoa wa Mara ni wa wana ccm pekee tena walikuwa wachache mno na lengo lilikuwa nikumtambulisha mbunge alierbuniwa kwa wana ccm.

Ni aibu kubwa kwa chama kikuu kama ccm kuwategemea watendaji/wateule wa Rais kuendesha shughuli za siasa kana kwamba ccm haina viongozi. Haya ninayokueleza leo nilikuwa pale Mugumu nakushuhudia kila kitu. Kwanini mnakimbilia kuwataja hao viongozi mnaowanunua msiangalie ni wananchi wangapi wanaunga mkono ccm wilayani Serengeti??

Naomba niwaamibie Mh Mbunge (msaliti) 2015 wakati wa kampeni alikuwa hana kitu hata mafuta ya pikipiki yake alikuwa anawekewa na wanachadema wa Serengeti na walipambana kwelikweli kuhakikisha anashinda. Hebu arudishe kumbukumbu nyuma kidogo wakati Mkurugenzi wa wakati ule akisita kumtangaza kuwa kashinda ubunge wanaserengeti walifanya nn na hatimae kutangazwa mshindi?? Leo kawasaliti. Wanamugumu leo walikuwa wajihoji hivi huyu msaliti si ndie Rais alimuagiza Mkurugenzi akamuoe dadake au ameamua kutimkia kule ili aolewe yeye??

Hivyo basi wanaserengeti wana uchungu kwelikweli na ccm kwa hizi fitna lkn ndio hivyo tena Rais ameamua kuwakumbatia wahalifu na kuifanya ccm ikose mvuto zaidi ya haowanaorubuniwa. Chadema imo na itaedlea kuwepo mioyoni mwa watanzania walio wengi na sio kwa wanaserengeti pekee.

Kingine nilichokissikia leo pale Mugumu wakati Mkuu wa Mkoa anaendelea na mkutano wake na wana ccm kuna baadhi ya wazee walisema ccm ya leo sio ile ccm yetu tena. Yaani sisi tumekuwa wapigania chama kwa miaka mingi lkn hatuonekani wanaoonekana ni hawa wanaokimbia vyama vyao na kuja huku kwetu eti kuunga juhudi mkono na kuonekana eti wanafaa kuliko sisi? Hili ni bomu litakuja kulipuka siku si nyingi na ule mlipuko wa Oldonyo le Ngai utakuwa ni mtoto. Hayo si maneno yangu bali nimenukuu kutoka kwa Wazee wa Mugmu (ccm)
 
Kijana siasa unazopiga zimepitwa na wakati.
Unachotakiwa ni kuweka sera za chama chako. Hayo unayoyaandika hata mtoto mdogo anaweza kuandika.
Siasa ni kueleza itikadi na sera ya chama chako. Lakini hizi siasa za kuchafua watu, mmejaribu lakini mwisho wa siku mmegeuka ninyi kwa ninyi kuramba matapishi tenu.

Niambie ile issue ya kumchafua Lowassa kuanzia 2008 - 2015 iliishia wapi!?

Siasa unazopiga zimepitwa na wakati. You need to update yourself.
Magufuli hauziki hata kwa jiki jamaa ni irrelevant kisiasa mwenyekiti wa chama mbovu sana kwao chato ameshindwa hata kumaliza uwanja wa ndege hata hospitali ya mkoa imemshinda kwenye taa za barabarani wanapita punda shule watu wanasomea kwenye miti maji hayana mzunguko wa kilometa kumi halafu washamba wananunulika kama maandazi eti tunaunga mkono kwa mtu failure nosense watanzania ni stunt brain period
 
Magufuli hauziki hata kwa jiki jamaa ni irrelevant kisiasa mwenyekiti wa chama mbovu sana kwao chato ameshindwa hata kumaliza uwanja wa ndege hata hospitali ya mkoa imemshinda kwenye taa za barabarani wanapita punda shule watu wanasomea kwenye miti maji hayana mzunguko wa kilometa kumi halafu washamba wananunulika kama maandazi eti tunaunga mkono kwa mtu failure nosense watanzania ni stunt brain period
Haya maneno tumeyazoea. Hamna jipya, ni kurudia rudia tu. Subiri 2020. Fyekelea mbali.
 
Imechelewa sana kufutika,acha Mbowe ale ruzuku na ukoo wake
Ungesema magufuli aliyeweka Doto james mwipwaye wanafyeka hela za nchi kama njugu mtu anatembea na mamburungutu kutafuta cheap popularity eti lete mapapai
 
nataka kuwasaidia makamanda kujua tatizo liko wapi ili wa retain members wake...mpaka sasa sijui tatizo ni nini,kama ni kuunga juhudi za Rais mbona wananchi wanamuunga not necessarily kujiunga na chama chake ndio uunge jitihada zake..this makes me think may be kuna deeper issues ambazo bado hazijawa identified within CHADEMA..ambazo zinakimbiza wanachama wake...
Hakuna kingine zaidi ya umalaya tu wa kisiasa kwa maneno ya Mwl. Nyerere, baba wa taifa hili. Hawa wanaweza kuuza hata nchi mbele ya hela, kama wanawake malaya wasivyoweza kuona hatari zilizojificha nyuma ya fedha....
 
Hivi Chadema hamna fedha za kuwahonga viongozi wa CCM? Yaani mmeshindwa kuwahonga hata wenyeviti wa vitongoji wa CCM?
Wahitaji kupepewa. Kusafisha dhambi kwa dhambi? Ndivyo mlivyozoea? Policcm, NECCM, wote wenu. Ndo maana nchi yetu imegota.
 
Hakuna kingine zaidi ya umalaya tu wa kisiasa kwa maneno ya Mwl. Nyerere, baba wa taifa hili. Hawa wanaweza kuuza hata nchi mbele ya hela, kama wanawake malaya wasivyoweza kuona hatari zilizojificha nyuma ya fedha....
Sasa mbona mwawapenda?
 
nataka kuwasaidia makamanda kujua tatizo liko wapi ili wa retain members wake...mpaka sasa sijui tatizo ni nini,kama ni kuunga juhudi za Rais mbona wananchi wanamuunga not necessarily kujiunga na chama chake ndio uunge jitihada zake..this makes me think may be kuna deeper issues ambazo bado hazijawa identified within CHADEMA..ambazo zinakimbiza wanachama wake...
Waongea kama "mgeni' vile halafu eti unataka usaidie inakuja kweli?
 
Mark it my words, hilo jimbo ni. Steven kabwe, kama hamuamini tuonane 2020, huyo ryoba hatoboi ng'o kula za maoni.
 
Poleni Serengeti poleni sana. Walio wageuka ni viongozi wa kisiasa wenye njaa ambao Mwl Nyerere aliwaita Malaya wa siasa.
Kwa kununuliwa kwao maisha yenu yatageuka kuwa kama kule Tunduru au Namanyere ambako mtu akitembelea huko atadhani bado wako miaka ya 1960s au 1970s.
Na sio kwa vile hawana rasilimali Bali ni kwa kukumbatia CCM ambayo kwao ni TANU. Msikieni Baba wa Taifa juu ya hao Wanasiasa Malaya.
 

Attachments

Back
Top Bottom