Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Huyu kijana idris Sultan amekuwa akisifika kukejeli mastaa kibao hapa bongo, Sasa najiuliza hivi siku huyu idris akiingia 18 za Mujuni almaarufu mpoki kweli atatoka salama Huyu Dogo?
Ikumbukwe pia nae mpoki anasifika kwa kukejeli na kuaibisha mastaa wenzake...
Ikumbukwe pia nae mpoki anasifika kwa kukejeli na kuaibisha mastaa wenzake...