Recent content by mr sijo

  1. M

    Ushauri kwa Mkurugenzi mpya TBC1, Dkt. Ayub Rioba

    Kweli namba nne haimuhusu kabsa, bwana Ayoub fanya hayo. Mengne itakue vzur zaid na ukitaka wabunifu wapo wale wa kujitegemea kama kina Adam Juma wa Visual Lab anaweza tengeneza vipindi vyenye ubora.
  2. M

    Biashara ya mashine ya kusaga

    Biashara ya kufunga mashine ya kusaga unga. Wadau mwenye ufahamu na hii biashara anifahamishe.
  3. M

    Nimesitisha rasmi kuchangia harusi

    hhaaahhaahhhhha kaz kwel
  4. M

    Vitu sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

    hhaahhaahhaahhahhha hlo la mwsho nmelipenda saan kka
  5. M

    Haya ndiyo aliyonieleza mfanyakazi wa mwenye nyumba siku niliyokuwa nahama

    Amen yesu ipo siku atamuumbua tuu n kwel hayo mambo yapo saan maan hujui kila mmoja aba siri ya ujenz wa nyumba ake
  6. M

    Ving'amuzi cha Startimes vimeshuka bei ni sh 22,000 tu na dishi 44,000

    hko 44 n dekoda peke ake bila dish ukitaka na dish lake jumla n 86 elfu asee si ivo kqma alivo post jamaa hapo juu fanya utafit hata mm mwanzo nilijua n ivo kumbe c ivo na cha antena n bila antena n dekoda peke ake ndo 22elfu ukitaka na antena ake n 9000
  7. M

    Laki tano tu unaweza badilisha historia

    hiii n kwel kabsa kka
  8. M

    Uanzishaji wa mradi wa mashine ua kusaga nafaka

    Wadau naombeni ushauri na muongozo juu ya uanzishaji wa biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ili nijue nianzie wapi!
  9. M

    Faida za kulala uchi

    nimekusoma mkuuu kwel aser
  10. M

    Hizi zina kiuno na kiuno...Kiuno Kingine hazikai

    zna faida gan hzo wadau
  11. M

    Unatakiwa kukomaa na mpango wako

    hii n kwel ila n kukomaa kwelkwel
Back
Top Bottom