Faida za kulala uchi

Faida za kulala uchi

Dah!ctaki hata kukumbuka,kuna jamaa alivamiwa cku1 na majambaz akiwa amelala uchi na mke wake,majambaz walivutiwa sana muonekano mzur wa yule mwanamke,basi majambaz wakajisevia!
Jambazi halisi kazini hana muda huo, hao walikuwa na visasi vyao tu ambavyo hata kama angekuta wamevaa majeans wangetenda walichotenda...
 
Nasikia kuna majini wao kazi yao ni kutafuta wanawake wanaolala uchi wa mnyama wawaingilie,ukiona hukai na wanaume linakuhusu hilo,majini yanakutengenezea mazingira ya wewe kutopata wanaume ili waendelee kukugegeda,endelea tu kulala uchi uwe chakula ya majini,cc mshana jr
Unataka kutuambia jini viumbe vilivyoumbwa kwa moto vinaweza kuzuiliwa kwa kutumia nguo?
 
Nilipokuwa Advance kuna jamaa alikuwa analala uchi mwanzo mwisho watu tulikuwa hatujastuka sasa kuna kipindi watu wametoka kupiga msuli usiku, jamaa blanket ilikuwa imedondoka chini sasa na lile baridi la Kibosho jamaa kajikunja kama kijusi watu wakaamshana bweni zima. Wakamuamsha nae akaanza kushuka faida za kulala uchi hiyo topic ili geuka mada mpaka kuna kucha afu shule yenyewe Boys watupu.
Unalala uchi bwenini tena boys school wakikunyoso utasema umeonewa...?
 
Unataka kutuambia jini viumbe vilivyoumbwa kwa moto vinaweza kuzuiliwa kwa kutumia nguo?

Haviwezi kuzuiliwa kwa kutumia nguo ila inasemekana kuwa matamanio yao huzidi zaidi waonapo utupu wa mwanamke
 
Jambazi halisi kazini hana muda huo, hao walikuwa na visasi vyao tu ambavyo hata kama angekuta wamevaa majeans wangetenda walichotenda...
Subiri yakukute ndo utakapojua kama ni jambazi halisi au fake!!
 
#TeamWachawi
Bora niwajue wenzangu.....
Acha mwili ule raha nao lala uchi ufukuze giza
 
Hii kwa masela wanaolala getto zaidi ya watano haifai maana wengine hawaaminiki.kwakweli siwezi kulala uchi kabisa lazma nivae boxer au bukta.
 
Ishu ni pale utakapo ingiliwa na popo bawa
 
Nasikia kuna majini wao kazi yao ni kutafuta wanawake wanaolala uchi wa mnyama wawaingilie,ukiona hukai na wanaume linakuhusu hilo,majini yanakutengenezea mazingira ya wewe kutopata wanaume ili waendelee kukugegeda,endelea tu kulala uchi uwe chakula ya majini,cc mshana jr
Inategemea na mvuto wa body mkuu wengine tukikaa uchi tunakuwa kama dune
 
Back
Top Bottom