Safi sana mkuu, watu hawachangii wagonjwa wanaoumwa wanahitaji dawa au vipimo hata 50k haifiki lkn wanachangia harusi.
Nina ndugu na wadogo zangu huko kijijini wanasoma kayumba kwa taabu halafu nijifanye mjini doninwa kuchangia harusi??
Mimi nilishakataa kata na wife wangu nae kaniunga mkono, tunachangia vitu vya lazima kama shule, safari ya lazima, vifo, magonjwa n.k
Nina ndugu na wadogo zangu huko kijijini wanasoma kayumba kwa taabu halafu nijifanye mjini doninwa kuchangia harusi??
Mimi nilishakataa kata na wife wangu nae kaniunga mkono, tunachangia vitu vya lazima kama shule, safari ya lazima, vifo, magonjwa n.k