Recent content by Mr Ngoma

  1. Mr Ngoma

    Msaada: Mume wa wifi yangu amempa mimba dada wa kazi nyumbani kwangu; familia imevurugika

    Je kushawishi kutoa mimba na ushahidi upo hapo inakuwaje ktk mahakama zetuu? Au sio jinai hii? ( Kama katuma sms kwa beki 3 kuwa namekutumia 300K ukatoe hiyo mimba je anaponaaa?)
  2. Mr Ngoma

    Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

    Shoppers iliyopo kabla ya TMJ Hospital..ingia ndani mkono wa kushoto utaona duka la tumbaku.... tena hawa jamaa wapo very cheap
  3. Mr Ngoma

    Msaada: Mume wa wifi yangu amempa mimba dada wa kazi nyumbani kwangu; familia imevurugika

    Nenda ka ripoti kwenye chama cha wafanyakazi wa ndani naskia huko hawana masihara...haki sawa kwa wote...Hata kama una ndoa na ukampa beki 3 mimba utamhudumia mpaka ajifungue, mtoto kama huamini ni wako mnaenda kwa pilato utafunguliwa kesi na mtaenda kwa ile ofisi iliyopo nyuma ya Ocean Road...
  4. Mr Ngoma

    Wanawake muitazame hii video mara kumi, mtajua kwanini waume zenu wanachepuka

    Ndoa ya Roman ni BIMA ya maisha nani kakudanganyaaaa? Ndoa yoyote ina misingi...misingi isipofuatwa ndoa hupigwa chini kisheria na life goes on......
  5. Mr Ngoma

    Jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu

    Fuata ushauri huu hapa... How to Increase Internal Memory of Any Android Phone
  6. Mr Ngoma

    Mke wa jirani anagawa papuchi je,nimwambie jamaa habari za mkewe?

    My friend too late hapo unamuokoa nn? kama miwaya tayari kashikanyaga!!!! Huyo mume wake nae atakuwa tayari kaunganishwa kwa grid ya taifa.... Ni wajibu wa kila mwenye ndoa kulinda ndoa yake as a MAN. So better keep quet mkuu.
  7. Mr Ngoma

    Pata msaada wa tatizo lolote la kompyuta hapa

    Hi, Nna Lenovo E351 screen inacheza. Kuna kipindi inatulia, kuna wakati inacheza mpaka nitumie external screen ndio naweza kutumia. please assists
  8. Mr Ngoma

    Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

    Nenda Karambezi cafe zipoooo. Pia shoppers plazza zipooo
  9. Mr Ngoma

    Serikali iingilie kati juu ya Ubakaji unaoendelea Coco Beach jijini Dar!

    Baadhi ya mabinti na wanawake wengine wanaofika kwenye Ufukwe wa Coco uliopo Oysterbay jijini Dar kwa lengo la kufundishwa kuogelea, wamekuwa wakijikuta wanafanyiwa vitendo vichafu, ikiwemo kubakwa na wanaume wanaojiita Beach Boys, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili. INAKUAJE? Akisimulia...
  10. Mr Ngoma

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    MTALAKA HATONGOZWIIIII..... LIKE USB DEVICE (PLUG N PLY)
  11. Mr Ngoma

    Msaada : Tool ya kuflash HTC sensional xl i39200

    Pia hii nyingine just download... HTC Sensation XL PI39200 | GEM Flash Firmware Download
  12. Mr Ngoma

    Msaada : Tool ya kuflash HTC sensional xl i39200

    Ingia hapa utapata tools na flasher files kwa cm yako... ROM Downloads for your HTC smartphone - Support | HTC United States
  13. Mr Ngoma

    Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

    Kaka kwa vipele hivyo sahau ""DAWA maana mimi nilishakwenda mpaka nje ya nchi but ckupona....ila nilienda arusha kwa Dr Njela ana kitengo kwa ajili ya kuviondoa na anavifaa maalumu vya kuvinyofoa then atakupatia dawa za kupaka aina mbili...kwishaaaaa mie nipo poa sasa. Hivi vipele huwa sio...
  14. Mr Ngoma

    CHEMICAL CONTENT YA MAFUTA YA CONDOM

    Bwana Kikale polee, ingia hapa ujue hayo mafuta ya condom http://blog.paleohacks.com/chemicals-condoms/#
Back
Top Bottom