Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

Huyu mdada mkapime halafu mpe masharti awe mama wa nyumbani tu akikataa basi usimpokee, na simu yake umbadilishie laini, na simu yake uwe unaitumia mara zote basi hapo mtakaa sana na umuwekee mikakati unavyotaka wewe maana ulisha experience kitu kibaya kutoka wkake lazima umdhibiti
 
Ni miaka kama 7 imepita toka huyu mdada aniache pasipo sababu ya kueleweka, nilikuta tu mtu kaanza kunichunia..miezi ikapita na hata nilipokuja kuonana naye, aliniambia wazi nitafute mtu mwingine!

Nikajisemea isiwe kesi ila kifupi niliumia sana, kwanza nilimpenda pili nilikuwa mwaminifu sana kwake, baada ya hapo nilijaribu mara kadhaa kujaribu kumrudisha ila ikashindikana!

Sasa muda umepita, kazunguka huko na mtoto kazalishwa sasa anakuja kwangu! Anajaribu kuomba msamaha eti aliyoyafanya kipindi kile alikuwa wrong, mi nimeshindwa nimfanye nini wala sijamjibu chochote japo nimekula mzigo kimya kimya. Kwa kifupi mimi sina pa kumpeleka yeye na mwanae.

NB: Wanawake huwa mnawaza nini kurudi kwa wanaume mliowaumiza mwanzo? Hivi hata kama mtu alikupenda, upendo utabaki vile vile pamoja na kuzurula kote na kuja na mtoto eti mtu akupokee? Akili zenu huwa mnaziweka wapi?

Dah unaakili sana mkuu! vipi kinga ulitumia? kikubwa wewe kula tu bumunda lake bila ahadi zozote na usimjibu chochote mpaka pale atakapoamka na kutafuta mtu mwingine wanaume huwa hatuachi mkuu! hiyo ni adhabu tosha kwa mwanamke kichwa maji!
 
Hana tofaut na Mariam wang
Anataka nicheze direct win

Kitu amabacho swez tena
Maana wakat nacheza direct win
Aliniona fala

Sasa namwambia tutacheza tu
GG yy analalamika jmn
 
Ni miaka kama 7 imepita toka huyu mdada aniache pasipo sababu ya kueleweka, nilikuta tu mtu kaanza kunichunia..miezi ikapita na hata nilipokuja kuonana naye, aliniambia wazi nitafute mtu mwingine!

Nikajisemea isiwe kesi ila kifupi niliumia sana, kwanza nilimpenda pili nilikuwa mwaminifu sana kwake, baada ya hapo nilijaribu mara kadhaa kujaribu kumrudisha ila ikashindikana!

Sasa muda umepita, kazunguka huko na mtoto kazalishwa sasa anakuja kwangu! Anajaribu kuomba msamaha eti aliyoyafanya kipindi kile alikuwa wrong, mi nimeshindwa nimfanye nini wala sijamjibu chochote japo nimekula mzigo kimya kimya. Kwa kifupi mimi sina pa kumpeleka yeye na mwanae.

NB: Wanawake huwa mnawaza nini kurudi kwa wanaume mliowaumiza mwanzo? Hivi hata kama mtu alikupenda, upendo utabaki vile vile pamoja na kuzurula kote na kuja na mtoto eti mtu akupokee? Akili zenu huwa mnaziweka wapi?
usikubali kuruhu mapungufu yako,kwanza miaka 7 ni kitu cha kutafakari yani baada ya kuona hakuna a-z ndo kakufikiria wewe for 7 year.huyo hata kuja kukualibia mambo yako kabisa,chapa miguu ucheki unacho fanya
 
Mwambie akale alikopeleka mboga!


Hiyo kula kimya kimya sijailewa. Ina maana umemla bila yeye kujijua? Alikuwa usingizini wakati unamla au? 😱
Namaanisha bila makubaliano yeyote...hakuna tuliloliongea kuhusu mahusiano yetu, alitegesha nyapu nikapiga basi hakuna story za ziada!
 
Duh kaka una moyo wa ajabu. Na mzigo umetafuna kabisa?
 
Kwa hiyo unataka kutuambia ni kama akina Propesa Kitilia, albert, Mwigamba na wenzake?
 
Back
Top Bottom