peter kasanga
Member
- Jun 1, 2017
- 49
- 9
Msaada jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu
Nunua memory card kubwa,hakuna uchawi hapo.
Kuna software zinaongeza ukubwa kwenye flash na memory card lkn siyo kwa uhalisia. Njia hii inatumiwa kudanganya watu sbb ukiformat inarudi ktk ukubwa halisi mfano memory card ya Gb 2 unaweza kuifanya ikawa inasoma GB 16 lkn hii haimaanishi ukubwa umeongeza la hasha bali zinabaki pale pale Gb 2. Itasoma Gb 16 lkn memory inabeba vitu vya GB 2.Msaada jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu
Hizo haiwezekaniMsaada jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu
Njia nyingine ni Kupunguza vitu visivyo na maana au faida, videos na picha za WhatsApp, msgs za mitandaoni, apps zilizotumika nknk...Msaada jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu
Msaada jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card na internal storage ya simu
Hakuna kitu kama hicho. Ukitaka kuua memory yako jaribu. Mm nimesoma microprocessor programming hiyo kitu haipo. Yaan memory ipo kama kabati lenye vyumba vidogovidogo ambavyo ndo tunaweka mafaili kama miziki n.k, kama allocation ipo 5kb itabakia hivo mileleKuna software zinaongeza ukubwa kwenye flash na memory card lkn siyo kwa uhalisia. Njia hii inatumiwa kudanganya watu sbb ukiformat inarudi ktk ukubwa halisi mfano memory card ya Gb 2 unaweza kuifanya ikawa inasoma GB 16 lkn hii haimaanishi ukubwa umeongeza la hasha bali zinabaki pale pale Gb 2. Itasoma Gb 16 lkn memory inabeba vitu vya GB 2.
Futa mafile yasiyo muhimu, nunua memory card yenye ukubwa mkubwa km Gb 16, 32 nk au download ccleaner kweny simu yako