Kulikua na jamaa 1 mwizi wa misalaba makaburini .siku 1 wakati akiwa katika kazi yake alipofika kwenye kaburi akaanza kuung'oa msalaba uliokua juu ya kaburi . Hafla wakasikia mtu akisema: oeeh acha hiyo antena ye2 wenyewe twaangalia mpira. "je mwajua kilichotokea kwa huyu mwizi fikirieni wenyewe.
Chapombe alikua anasafiri kwenye treni siku ya tatu bila ya kuonja akamuona mtu mbele yupo na chupa ya biere akakiepeleka mdomoni na kui2a chini kwa kua jamaa alikua na usongo na bia akamlia temingi yule mwenye bia alipozubaa jamaa akatambaa nayo chini kwa chini akachukua chupa ya bia na na...
Mume na mke wameingia hotel ya bei ghali.
Mume: Wife unakula nini?
Mke: Baby utakachokula na mie hichoX2.
Mume: Mhudumuu!
Mhudumu: Naam mkubwa, unaorder ki2 gani?
Mume: Chips na kuku sahani 2 bei gani?
Mhudumu: 65,000/=
Mume: Inakuwa na kachumbari?
Mhudumu: Ndio mkubwa.
Mume: Kachumbari...
MPEMBA ANATONGOZA DEM:-ntoto weyee wallahi wanimaliza unrefu kama nkarafuu, mashallah wang'ara kama embe boribo, nywelezo zinnyooka kama kamba za mibungo(.....)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.