Kulikua na jamaa 1 mwizi wa misalaba makaburini .siku 1 wakati akiwa katika kazi yake alipofika kwenye kaburi akaanza kuung'oa msalaba uliokua juu ya kaburi . Hafla wakasikia mtu akisema: oeeh acha hiyo antena ye2 wenyewe twaangalia mpira. "je mwajua kilichotokea kwa huyu mwizi fikirieni wenyewe.