Chapombe alikua anasafiri kwenye treni siku ya tatu bila ya kuonja akamuona mtu mbele yupo na chupa ya biere akakiepeleka mdomoni na kui2a chini kwa kua jamaa alikua na usongo na bia akamlia temingi yule mwenye bia alipozubaa jamaa akatambaa nayo chini kwa chini akachukua chupa ya bia na na kuifakamia fasta ghafla akaitoa mdomoni muda si muda yule jamaa akawa anaitafuta chupa yk kumbe ile ilikua sio bia bali yule jamaa alikua na tatizo la kujaa mate mdomoni kutokana na kichefuchefu so alikuwa akii tumia ile chupa kutemea mate dah uroho noma jamaa hoi mijicho haaah chapombe kutafika anataka kukaa anataka