Dah kaka nakushukuru sana sana sana nahisi kwenye simu hapo tatizo ndo linapoanzia maana tangia nibadirishe simu ndo kesi imeanza maana hii simu nahis Ina mionzi mikali sana kuliko Ile ya awali sikuwahi kupata case kama hii nitazingatia sana ushauri wako
Habari zenu wanajamii hasa kwenye hili jukwaa la afya.mimi Nina tatizo la jicho langu la kushoto mboni ya juu kutetemeka sana na inatokea mara kadhaa ndani ya dk 5. nikiongea hivyo naamini wengi washakutana na hii Hali walau mara kadhaa na wengi Huwa wanasema kutetemeka Kwa jicho la kulia Kuna...
wakuu habari za majukumu naitwa yohana naomba kutumia forum hii kutafuta kazi y Mambo ya yanayohusu miradi nina degree ya project planning and management pia nina diploma ya community development.
Naombeni msaada wenu pls. Naweza kukupatia any information about me when needed.
thank you...
Sabaya amesoma na broo wangu mimi huyo jmaa hyo ndiyo style yake ya maisha broo anadai jamaa alikuwa ni untouchable yaan alikuwa na clue yake hyo kila anachotaka atapata tu so dah sijui itakuwaje
14 Mar 2015
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA
Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya...
Fala wewe eti form four ndo nimejua akili yako matupu huna unalojua zaidi ya chuki tu yaan wewe hata kama umesoma ni umeikomboa elimu syo wewe kukombolewa na elimu mfu kabsaa
Mzee kwa kuwa hawasemi tu kile unachokitaka basi ni wapumbavu dah hizi ni dharau kubwa sana kwa hyo wasomi wote wako chadema tuu kwa kuwa hao ndiyo wanasena unachokita wewe.hii ni judgement ya kimasikini sana na ya mtu asiyesoma.maana hao unaosema hwana njaa pamoja na kupata ruzuku lakin...
Ni sahihi kabisa kuji isolate kwa nchi maskini kama hizi ni kujitafutia matatzo sasa leo nilikuwa nasikiliza bbc kenya wana shida ya vitunguu hatar na wanasema kabsaa vitunguu vya tanzania ni best na bei poa kuliko vya kwako vya kwao ni vibovu lakini pia bei ghali kwa hyo mambo syo mambo huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.