Shida ya jicho la kushoto kutetemeka

mr egrose

Member
Feb 9, 2014
14
8
Habari zenu wanajamii hasa kwenye hili jukwaa la afya.mimi Nina tatizo la jicho langu la kushoto mboni ya juu kutetemeka sana na inatokea mara kadhaa ndani ya dk 5. nikiongea hivyo naamini wengi washakutana na hii Hali walau mara kadhaa na wengi Huwa wanasema kutetemeka Kwa jicho la kulia Kuna maana yake kiimani na kushoto the same way la kushoto.

Lakini kinachonipa wasi wasi ni kwamba Sasa unaenda mwezi wa pili huu Bado nakutana na hili tatizo,hata kama wanasema sijui bahati ama utapata kitu sijui😂😂 hiyo ni kiiman lakini Mimi sina aman tena maana miezi miwili syo mchezo.

Jap haliumi Wala halisumbui chochote na linaona vizuri tu lakini Mimi naingiwa na hofu isijekuwa ni tatizo linajijenga taratibu halafu nikaliendekeza badae likaniletea shida.naombeni msaada wenu katika hili kama Kuna mtu ana experience ama utaalam na hili tatzo basi anisadie.asanten sana Wana jamii.🙏🙏
 
Habari zenu wanajamii hasa kwenye hili jukwaa la afya.mimi Nina tatizo la jicho langu la kushoto mboni ya juu kutetemeka sana na inatokea mara kadhaa ndani ya dk 5. nikiongea hivyo naamini wengi washakutana na hii Hali walau mara kadhaa na wengi Huwa wanasema kutetemeka Kwa jicho la kulia Kuna maana yake kiimani na kushoto the same way la kushoto.

Lakini kinachonipa wasi wasi ni kwamba Sasa unaenda mwezi wa pili huu Bado nakutana na hili tatizo,hata kama wanasema sijui bahati ama utapata kitu sijui😂😂 hiyo ni kiiman lakini Mimi sina aman tena maana miezi miwili syo mchezo.

Jap haliumi Wala halisumbui chochote na linaona vizuri tu lakini Mimi naingiwa na hofu isijekuwa ni tatizo linajijenga taratibu halafu nikaliendekeza badae likaniletea shida.naombeni msaada wenu katika hili kama Kuna mtu ana experience ama utaalam na hili tatzo basi anisadie.asanten sana Wana jamii.🙏🙏
Misuli ya macho kutetemeka/twitching, inaweza kuwa si dalili ya ugonjwa au tatizo lolote kubwa la kiafya.

Hii huweza kutokana na kuchoka, kukosa usingizi, matumizi ya kahawa, stress au kuwa kwenye kazi ya kuangalia screen/sklini kwa muda mrefu mfano: komputer, simu, Tv nk.

Suluhisho: kupunguza au kuondoa hayo hapo juu. Mfano: Pata muda wa kupumzika, punguza au jifunze kuishi na stress, punguza matumizi ya kahawa au punguza matumizi ya sklini.

Baada ya siku au wiki tatizo litaondoka.
Kama pamoja hayo tatizo lisipoondoka basi waone wataalamu wa afya.
 
Misuli ya macho kutetemeka/twitching, inaweza kuwa si dalili ya ugonjwa au tatizo lolote kubwa la kiafya.

Hii huweza kutokana na kuchoka, kukosa usingizi, matumizi ya kahawa, stress au kuwa kwenye kazi ya kuangalia screen/sklini kwa muda mrefu mfano: komputer, simu, Tv nk.

Suluhisho: kupunguza au kuondoa hayo hapo juu. Mfano: Pata muda wa kupumzika, punguza au jifunze kuishi na stress, punguza matumizi ya kahawa au punguza matumizi ya sklini.

Baada ya siku au wiki tatizo litaondoka.
Kama pamoja hayo tatizo lisipoondoka basi waone wataalamu wa afya.
Umemaliza kil kitu🤏😎🔨
 
Dah kaka nakushukuru sana sana sana nahisi kwenye simu hapo tatizo ndo linapoanzia maana tangia nibadirishe simu ndo kesi imeanza maana hii simu nahis Ina mionzi mikali sana kuliko Ile ya awali sikuwahi kupata case kama hii nitazingatia sana ushauri wako
 
Back
Top Bottom