Huenda ukawa ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu. Hivi baada ya kuua nini kinafuata kama siyo jela maisha?
Ukimegewa jiulize wapi unakwama, then tafuta suluhu inayotibu msongo wako wa mawazo.
Si tabia inayofaa kuwa na vicheche kibao na mali za wengine kijamii... Ila tutoe dhana ya kwamba...
Ndugu,
Jana katika television moja ya hapa kwetu ijulikanayo kama clouds tv, ilirusha kipindi chenye maudhuhi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga).Hoja yangu, katiba yetu na sheria hairuhusu hiloPia mila na desturi zetu haliruhusu hiloJamii yetu haijazoeshwa kuwa na...
Unaweza ukawaza upya jinsi unavyoyachukulia mahusiano hasa ya mume na mke.. It's all about give and take,
Pia find where the true happiness come from itakusaidia sana bro
Maada fikirishi sana, tungekuwa na aina fulani ya uthubutu kama huu wa kujiuliza maswali magumu na kuja na majibu chanya, tusingekuwa na tanzania ya hovyo kiasi hiki.... Watawala wanafikiri kawaida sana na ndio waliopewa jukumu la kuamua baadaye yetu katika ulimwengu huu wa kuonekana..
Nguvu...
Kwa kuwa kila mwanadamu anataka maendeleo, basi ni dhahiri kwamba huu mchezo unasheria zake, ambazo wachumi hawataki kuwafundisha raia wengi wa dunia, they call it money game.
Moja ya sheria mhimu ambayo itatufaa leo hapa jukwani ni hii sheria ya ubuni au ubunifu wenzetu huita creativity...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.