muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,002
Mkuu danya heshima kwako. Nimekusoma vizuri. Pole sana. Mkuu hiyo unayopitia sio hali ya kawaida japo kwako wewe mwenyewe na baadhi ya watakao kuunga mkono (obviously nao ni kutokana na experiences zao pia) itaonekana ni sahihi. Umefafanua in detail mazingira yaliyokushawishi ufikie uamuzi huo.
Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhaMkuu danya nimekusoma. Pole sana. Mkuu hiyo unayopitia sio hali ya kawaida japo kwako wewe mwenyewe na baadhi ya watakao kuunga mkono (obviously nao ni kutokana na experiences zao pia) itaonekana ni sahihi. Umefafanua in detail mazingira yaliyokushawishi ufikie uamuzi huo.
Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhati kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.
Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.
Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.
2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.
3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.
4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.
5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).
6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.
ti kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.
Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.
Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.
2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.
3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.
4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.
5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).
6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.
Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhaMkuu danya nimekusoma. Pole sana. Mkuu hiyo unayopitia sio hali ya kawaida japo kwako wewe mwenyewe na baadhi ya watakao kuunga mkono (obviously nao ni kutokana na experiences zao pia) itaonekana ni sahihi. Umefafanua in detail mazingira yaliyokushawishi ufikie uamuzi huo.
Samahani sana ndugu yangu....hauko sahihi. Natambua, kuheshimu na kuhurumia hisia zako kwa dhati kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.
Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.
Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.
2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.
3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.
4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.
5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).
6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.
ti kabisa. Inawezekana wewe mwenyewe umekuwa victim wa mahusiano au umeshuhudia hizo dhoruba zikiwatokea watu wengine kiasi kwamba zimekuathiri kisaikolojia.
Japo ingefaa kupata maelezo yako zaidi (ya nyuma ya pazia), lakini kwa kusoma maandishi yako hapa tu nashawishika kusema kuwa una medical condition inayoitwa Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD). Nakupa homework ui-google ili ujitathmini.
Ushauri:
1. Hata kama unajiona uko poa (while in actual sense you are not), nenda kawaone wataalamu wakupe ushauri nasaha. You need urgent psychotherapy.
2. Usipokuwa makini hali uliyonayo sasa (current mental health status) inaweza ku-escalate na kuishia kuwa na chains ya matatizo mengine mapya huko baadae. It can be too late then. Unless kama ulichoandika ni fiction tu.
3. Huku nikiamini kuwa mapenzi hayana "gwiji" kwa wale wanaopenda kiukweli, bado una nafasi ya kuamua kupenda na hatimaye kupata mwanamke ambaye atakufanya ujione kumbe mwanzoni ulikuwa gravely wrong. Muhimu tu ni kuwa jitahidi kutumia akili. Sisi wote ni wahanga wa mapenzi.
4. Jizuie ku-jump into conclusions na kufanya maamuzi makubwa katika maisha unapokuwa uko kwenye stress ya aina fulani. Sina nia ya kuku-judge mkuu danya lakini nahisi umekurupuka kimtindo. Never say never....Ha ha ha.
5. Anza mchakato wa kutafuta ubavu wako when it not too late. Kumbuka kuwa kisichokuua basi kitakufanya uwe imara zaidi. Hata hao wazazi na ndugu zako unaosema kuwa ndio wenye haki ya kula hela zako kumbuka nao mahusiano hayakuwa/hayako rosy or honeymoon kila siku. Ups and downs zipo muhimu tu ni kwamba lazima ziwe within manageable range (which is also subjective).
6. Tafuta watu sahihi katika mazingira yako (kazini, nyumbani etc) wakupe pande zote za shilingi kwenye mapenzi. Inaonyesha huna role models wazuri kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Kila la kher ndugu yangu and sorry mkuu kwa kuandika maneno mengii na kama nitakuwa nimevuka mstari kwenye maelezo yangu in any way.