chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,134
Unanikumbusha kitabu cha Nataka iwe Siri..
Eti kuna kitabu cha siriHadithi hii inatufundisha nini?
SplendidMwongozo wa Nchi yeyote Ni KATIBA, Hayo Mengine ya Vitabu ya Matunguri Na Ramli unavijua wewe. In short there is no such thing as a secret book! Au hicho Kitabu ndicho kilichomwambia JK awalaze Wamama chini Mhuhimbili, Aachie Makontena bila Kodi, Alambe Escrow! Ashindane kuipiku record ya Vasco Da Gama, Na Kitabu hicho hicho Kikamwambia JPM, Apige vita mambo hayo. My best you sound soooooo funny! Hizo hadaa za Juma na Roza, na Bulicheka peleka kwa stooges wa Lumumba! Good try though!
Nafikiri ni miongozo na taratibu za kuwa rais..hiki si kitabu cha siri bali ni mkataba ambao wanaopaswa kuufahamu ni wachache kwa kimombo inaitwa classified
..Na wengine wamezifanya VIDUKU...Kweli akili ni nywele
...Naam. Oddessa File...Hicho sio kitabu cha siri bali ni desa
Well said...Unterischt.....ni ....kijerumani ...!!!!Nivyema tukajuwa Rais hafanyi jambo lolote pasipo kuwa na muongozo au watu nyuma yake kumuongozo. Kitabu cha siri ambacho wanao kiona ni wale tu wenye cheo cha Rais wa jamuhuri wa muungano tu ndio muongozo wa kazi zake za urais. Wajinga wachache wasio juwa kuwa Rais anamuongozo ndio wanao tupotosha. Zipo siri nzito ambazo mim na wewe hatuzijuw na nibora tukae kimya maana Rais hajaribu kaz ila anafanya kaz kwa mujibu wa muongozo huo. Ipo kazi lazima ifanyike chini ya Mh Magufuli. Wengi watalia na kupiga kelele ila kaz lazima ifanyike.
....Asisahau Bibliography....tuwekee cover page tu.
In keeping with tradition, President ....... left a letterWewe umejuaje kama kunakitabu cha siri, that means you know the content. Speak out!
.....Too long a Letter, by Mariam Ba!In keeping with tradition, Mr. President ....... left a letter
Mkuu upite hvJk alikuwa anatumia kitabu cha bulicheka na JPM anatumie Ngoswe.....