Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,617
HII
THREAD HII NITAICHANGIA TENA KESHOLakini kwenye vitabu vitakatifu (nimewahi soma kwenye biblia) kwamba wakati wa uumbaji Mwenyezi Mungu alikuwa akiumba viumbe wengine (including wanyama kama sokwe) kwa kunena tu na wakawepo. Lakini wakati wa kumwuumba mwanadamu alitumia mikono yake na udongo kisha akampulizia pumzi ya uhai ambayo in essence ndiyo roho. Sasa inakuwaje na wanyama ambao hawakupuliziwa pumzi ya uhai (roho) nao wawe na roho? Na je kama nao wana roho wanapokufa na miili yao kuoza, roho (energy) zao nazo ubaki na kutafuta jumba jingine?