Mimi kama raia wa kawaida nimegundua kuwa baadhi ya wanaojiita wasomi hapa bongo wengi wao mikononi wanavyeti kichwani wamejaa sex! pamoja na hayo haya mambo ya vyeti vyeti hayajawahi kumuacha mtu salama!
unajaribu kueleza ukweli na huku ukitoa ushaidi (evidence) dhaifu sana! mpaka sasa hakuna kitabu chochote kilicho jaribu kutoa takwimu sahihi za kiwango gani wafrika walio kamatwa, kusafirishwa na kuteswa enzi za watumwa. hiyo hoja ya kusema ukitembea nchi za urabuni kuna wafrika wachache si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.