Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,404
Wakuu Salaam sanaa bhana hawa jamaa wakati wanaanza waliturubuni sanaa natukaona hapa tumepata suluisho la matatizo yetu ktk mitandao
Lakini kadri siku zinavyo songa mbele wamelewa sifa na kuvurunda kabisa
Unajiunga kifurushi cha 10000 elfu
Kinaisha bila kujua kimeisha vipi Kibaya zaidi mtandao umekuwa taratiibu Yaani polepoleee kama Bwana yule wa lumumba
inakera sanaa Unafungua Kitu Mtandaoni dakika kumi nzima hakifunguki alafu ukija kutizama Mb zimepuputika hatari Sio uungwana huu
Halotel tunaomba mbadilike uchumi saivi umekuwa magumashi msitutumie sisi kuingiza kipato ilhali hamtupi kilicho bora:
Nimewapigia simu wamenipa masaa 24 Tatizo lita kwisha lakini wapi Yaaani unakuwa kama unatumia tecno m3
Upokeeni ujumbe wangu Mnakera mnaboa sanaa sanaa Boresheni uduma zenu kama awali
Lakini kadri siku zinavyo songa mbele wamelewa sifa na kuvurunda kabisa
Unajiunga kifurushi cha 10000 elfu
Kinaisha bila kujua kimeisha vipi Kibaya zaidi mtandao umekuwa taratiibu Yaani polepoleee kama Bwana yule wa lumumba
inakera sanaa Unafungua Kitu Mtandaoni dakika kumi nzima hakifunguki alafu ukija kutizama Mb zimepuputika hatari Sio uungwana huu
Halotel tunaomba mbadilike uchumi saivi umekuwa magumashi msitutumie sisi kuingiza kipato ilhali hamtupi kilicho bora:
Nimewapigia simu wamenipa masaa 24 Tatizo lita kwisha lakini wapi Yaaani unakuwa kama unatumia tecno m3
Upokeeni ujumbe wangu Mnakera mnaboa sanaa sanaa Boresheni uduma zenu kama awali