Habarini za Leo?
Samahani naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu.Ni namna gani unaweza watenganisha kuku wa kienyeji wawili wanaotaga bandani lakini sehemu moja japokuwa tumewaandalia vyumba tofauti ktk banda moja?.
Mkuu, vp na wale;baby nimekumiss kweli, naomba nitumie picha zako ukiwa kama vile daktari anakupokea toka kwenye tumbo la mama yako kwa mara ya kwanza kukanyaga duniani,I lov U;·
Yaelekea mtoa mada huo ndio ubalozi wake wa kwanza wa Tanzania kuutembelea akiwa nje ya nchi.kokote duniani utakapoenda kwenye balozi Za Tanzania lazima utakuta wazawa wa nchi mwenyeji wakifanya kazi pale,hivyo hivyo hata nchi nyingine kwetu Tanzania ambazo zina ubalozi wao kwetu Tanzania kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.