AIBU TUPU: Ubalozi wa Tanzania hapa Zimbabwe...

Yaelekea mtoa mada huo ndio ubalozi wake wa kwanza wa Tanzania kuutembelea akiwa nje ya nchi.kokote duniani utakapoenda kwenye balozi Za Tanzania lazima utakuta wazawa wa nchi mwenyeji wakifanya kazi pale,hivyo hivyo hata nchi nyingine kwetu Tanzania ambazo zina ubalozi wao kwetu Tanzania kuna wafanyakazi Wa Tanzania ambao ni waajiriwa ktk balozi hizo.Mfano ukienda balozi za wachina utakutana na Mtanzania,balozi za Korea utakutana na MTanzania, sasa nao wawatoe Wa TZ ktk hizo ofisi wawaweke wachina na wakorea wenzao?.Tuache kukurupuka na kutoa shutuma na lawama bila kufikiri.South umekimbia xenophobia attack nini?.
 
  • So kama wao wanafanya unataka na sisi tu copy and paste?
  • Tunaweza kuja na version yetu
  • Kwa mantiki hiyo hata kule Nairobi kwenye ubalozi wetu unaunga mkono mzawa "mkenya" kuomba na kupewa ajira pamoja na rafu zote wanazo ifanyia nchi yetu.
Kwanza acha ushamba wa kibongo bongo wa kutumia neno la kiingereza ''so'' kishamba! Nchi nyingi ikiwepo Tanzania huajiri wenyeji wa nchi husika kwenye balozi zao ili kupunguza gharama! Mtu yoyote na wataifa lolote anaweza kuomba!
 
AIBU AIBU TUPU!HUU NI UJINGA NANI AIBU TUPU KWA TAIFA KAMA TANZANIA,
JANA NILITOKA SOUTH AFRIKA NIMESOGEA ZIMBABWE MARA MMOJA,NILIFIKA HARARE SAA TATU USIKU.

View attachment 474159
View attachment 474161


LEO ASUBUH NIMEAMKIA TOWN KWA ISSUE ZANGU,NILIPOMALIZA MIDA YA SAA SABA NIKAONA NGOJA NIKAUSALIMIE UBALOZI WANGU WA TZ HAPA HARARENILICHOKIKUTA WADAU NI AIBU, KIUKWELI NI AIBU KUBWA,WAFANYAKAZI WAWILI OFISI NZIMA,HAWAJUI KISWAHILI WANAONGEA SHONA NA ENGILISH,
WALINIKALIBISHA.

BASi si unajua ukiwa nje ya nchi yako ukifika ubaloz wako basi unajisikia furaha sana,maana ni kama uko nchini mwako.

Basi wadau nilivyofika nikawasalimia wale wadada,
HABAr zenu
Wakajibu fine..
Nilijua ni wabongo wenzangu bhana kumbe washona, hawajui KISWAHILI kabisa,
Wakaniambia HAWAJUI KISWAHILI hivyo nizungumze kingereza,
BASi ikabidi nianze kuzungumza nao kingereza.

KATIKA kuwauliza wale wadada wakaniambia pale OFISIn wako wenywe na watanzania Wa wawili pekee. KATIKA kufatilia nikakundua wanaowasema wawil ni viongoz wakubwa ambao mara nyingi hawatulii ofisini,
DUUUH!!Nimejiuliza maswali mengi sana nikiwa natoka,

Hivi kwanini ubalozi kama huu usiajili watanzania full? Hata kama ni wachache lakini wawe wanatoka nyumbani?

Kuna WATANZANIA wangap wanalia ajira huko?Kwanini ubaloz kama huu ushindwe KUWA na wazawa wakutosha ukizingatia ni nchi ambayo raia wetu kila siku wanakuja HAPA na ina watanzania wengi.

KWANINI lakini?
Hivi kweli mimi mtanzania nakaribishwa NA mzimbabwe ambaye hajui hata lugha yangu?huu ni ujinga...
Tena nasema ni UJINGA...huwezi kumwajiri mtu kwenye ubaroz asiyejua hata lugha yako....shame on you...tumekuwa wajinga kila mahali,
NASEMA UWAZI NCHI YANGU TANZANIA IBADIRIKE..NAdHAN KUNA baloz nyingi za kwetu zilizo nauzo kama huu,

Hebu zianikeni HAPA...waone madudu yao...HIVI KWELI MIMI MTANZANIA NIKIPATA TATZO NCHI YANGU ITANISAIDIA?KAMA BALOZI ZAKE ZENYWE HAZIJASIMAMA VILIVYO?

SHAME ON YOU!
SHAME ON YOU!
SHAME ON YOU MR M
SHAME SHAME SHAME!!!!!!!
Njoo Tz uone maajabu kiongozi wa chadema freeman Mbowe anakula deal za poda anawaletea watanzania wateketee kabisa.
Shem on Mbowe!!!
 
Hiyo mbaya sana nadhan greyson msigwa atafikisha hilo kwa magu
Magu yup au wa ngara olkokola
Mkuu,

Nchi ina Tatizo kila sehemu hatueleweki hasa what we care.

Viongozi wakishakuwa madaraka hawajali tena maslahi ya Nchi zaidi ya wao kujinufaisha.

Kiukweli unafika muda inakuwa ni aibu kuwa mwananchi wa Taifa kama hili.

Na haya mataifa yalishatusoma thus why wananchi wanaonewa sana katika nchi na hakuna kinachofanyika.

Sometime nawaza sijui kam tungepata UHURU kwa mtutu huenda kidogo tungekuwa na akili.

Nchi hii dah.
 
Yaelekea mtoa mada huo ndio ubalozi wake wa kwanza wa Tanzania kuutembelea akiwa nje ya nchi.kokote duniani utakapoenda kwenye balozi Za Tanzania lazima utakuta wazawa wa nchi mwenyeji wakifanya kazi pale,hivyo hivyo hata nchi nyingine kwetu Tanzania ambazo zina ubalozi wao kwetu Tanzania kuna wafanyakazi Wa Tanzania ambao ni waajiriwa ktk balozi hizo.Mfano ukienda balozi za wachina utakutana na Mtanzania,balozi za Korea utakutana na MTanzania, sasa nao wawatoe Wa TZ ktk hizo ofisi wawaweke wachina na wakorea wenzao?.Tuache kukurupuka na kutoa shutuma na lawama bila kufikiri.South umekimbia xenophobia attack nini?.
Hujaelewa thready....nini nilikuwa namaanisha mkuu
 
Kwanza acha ushamba wa kibongo bongo wa kutumia neno la kiingereza ''so'' kishamba! Nchi nyingi ikiwepo Tanzania huajiri wenyeji wa nchi husika kwenye balozi zao ili kupunguza gharama! Mtu yoyote na wataifa lolote anaweza kuomba!
Mkuu huelewi nini tunahtaji..yaan unaajr wazawa wote na HAWAJUI hata lugha yako....shame on you
 
AIBU AIBU TUPU!HUU NI UJINGA NANI AIBU TUPU KWA TAIFA KAMA TANZANIA,
JANA NILITOKA SOUTH AFRIKA NIMESOGEA ZIMBABWE MARA MMOJA,NILIFIKA HARARE SAA TATU USIKU.

View attachment 474159
View attachment 474161


LEO ASUBUH NIMEAMKIA TOWN KWA ISSUE ZANGU,NILIPOMALIZA MIDA YA SAA SABA NIKAONA NGOJA NIKAUSALIMIE UBALOZI WANGU WA TZ HAPA HARARENILICHOKIKUTA WADAU NI AIBU, KIUKWELI NI AIBU KUBWA,WAFANYAKAZI WAWILI OFISI NZIMA,HAWAJUI KISWAHILI WANAONGEA SHONA NA ENGILISH,
WALINIKALIBISHA.

BASi si unajua ukiwa nje ya nchi yako ukifika ubaloz wako basi unajisikia furaha sana,maana ni kama uko nchini mwako.

Basi wadau nilivyofika nikawasalimia wale wadada,
HABAr zenu
Wakajibu fine..
Nilijua ni wabongo wenzangu bhana kumbe washona, hawajui KISWAHILI kabisa,
Wakaniambia HAWAJUI KISWAHILI hivyo nizungumze kingereza,
BASi ikabidi nianze kuzungumza nao kingereza.

KATIKA kuwauliza wale wadada wakaniambia pale OFISIn wako wenywe na watanzania Wa wawili pekee. KATIKA kufatilia nikakundua wanaowasema wawil ni viongoz wakubwa ambao mara nyingi hawatulii ofisini,
DUUUH!!Nimejiuliza maswali mengi sana nikiwa natoka,

Hivi kwanini ubalozi kama huu usiajili watanzania full? Hata kama ni wachache lakini wawe wanatoka nyumbani?

Kuna WATANZANIA wangap wanalia ajira huko?Kwanini ubaloz kama huu ushindwe KUWA na wazawa wakutosha ukizingatia ni nchi ambayo raia wetu kila siku wanakuja HAPA na ina watanzania wengi.

KWANINI lakini?
Hivi kweli mimi mtanzania nakaribishwa NA mzimbabwe ambaye hajui hata lugha yangu?huu ni ujinga...
Tena nasema ni UJINGA...huwezi kumwajiri mtu kwenye ubaroz asiyejua hata lugha yako....shame on you...tumekuwa wajinga kila mahali,
NASEMA UWAZI NCHI YANGU TANZANIA IBADIRIKE..NAdHAN KUNA baloz nyingi za kwetu zilizo nauzo kama huu,

Hebu zianikeni HAPA...waone madudu yao...HIVI KWELI MIMI MTANZANIA NIKIPATA TATZO NCHI YANGU ITANISAIDIA?KAMA BALOZI ZAKE ZENYWE HAZIJASIMAMA VILIVYO?

SHAME ON YOU!
SHAME ON YOU!
SHAME ON YOU MR M
SHAME SHAME SHAME!!!!!!!
Hiyo aibu ni kila sehemu ndugu yangu, chukia kuitwa mtanzania kama mimi navyochukia, maana nchi imeharibiwa kila sehemu na hawa waccm, ni aibu aibu aibu. Abu dhabi kuna muhindi huyo ukifika anaanza kukuuliza maswali ya kisenge kama unavyojua wahindi kwa maswali ya kijinga, what can I help you? We mjinga utanisaidia nini kwenu india mi bongo pumbavu, anakera kweli, wapo wabongo pale lakini wanamakuu kuliko makonda, receiption au ukipiga simu huyo muhindi ndio anapokea. Ccm iondoke jamani.
 
Hiyo aibu ni kila sehemu ndugu yangu, chukia kuitwa mtanzania kama mimi navyochukia, maana nchi imeharibiwa kila sehemu na hawa waccm, ni aibu aibu aibu. Abu dhabi kuna muhindi huyo ukifika anaanza kukuuliza maswali ya kisenge kama unavyojua wahindi kwa maswali ya kijinga, what can I help you? We mjinga utanisaidia nini kwenu india mi bongo pumbavu, anakera kweli, wapo wabongo pale lakini wanamakuu kuliko makonda, receiption au ukipiga simu huyo muhindi ndio anapokea. Ccm iondoke jamani.
Wajinga wametufikisha hapa tulipo leo....
 
48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom