Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Duuh hao watakuwa nyoka wa nyumbanKweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?
Duuh hao watakuwa nyoka wa nyumbanKweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?
Wewe unazungumzia nyoka jamii ya rattle i.e. rattle snake. Sio nyoka wote wana uwezo wa kufanya hivyo bali ni jamii hiyo tu! Ile sauti kama chekeche inayotoka mkiani ni kutoka kwenye magamba special aliyonayo. Wataalam hawana jibu la moja kwa moja kuhusu ni kwanini analiza magamba yake lakini wengi wanasema huwa anatoa hiyo sauti kama defensive mechanism ili kuwaonya viumbe wengine wasimkaribie. Ni kama mbwa anavyobweka. Na kuna wanaosema anatoa hiyo sauti ili kuwavutia viumbe wadogo anaokula kama msosi wake..
Angalia hii clip hapa
MakubwaaKweli we TangoMwitu mkuu
Du!?Kweli we TangoMwitu mkuu
host wa hiko kipindi hajaelezea??Wakuu, nipatapo muda huwa naangalia TV chaneli ya Animal Planet. Kilichonisukuma kujua ni jinsi nyoka anapochezesha mkia wake (sehemu ya mwisho ya mwili wake) na kutoa mlio kama chekeche hivi, huwa anaashiria nini?
Ukiona Ivo ujue anakupendaWakuu, nipatapo muda huwa naangalia TV chaneli ya Animal Planet. Kilichonisukuma kujua ni jinsi nyoka anapochezesha mkia wake (sehemu ya mwisho ya mwili wake) na kutoa mlio kama chekeche hivi, huwa anaashiria nini?
We kweli pimbi sanaKweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?
atakuwa anapandwa na hasira
Sawa mkuu, lakini niliona hata chatu akitikisa mkia wake!
Daaah mungu kweli kaumba viumbe tofauti tofauti.Kweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?
Aksante mkuu ila hao 'rattle snake' wakoje?
Aaaaa siwajua tena serikali yet hiitangu sakata la madawa lichachamae umeadimika! kulikoni..?
ha ha ha! umefanya nikumbuke maneno haya "tumeipenda wenyewe" "acha waisome nambaee""hapa kazi tu".ndo hivyo twende sambamba na haliAaaaa siwajua tena serikali yet hii
Kweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?




Sijambo nimekumisi tuha ha ha! umefanya nikumbuke maneno haya "tumeipenda wenyewe" "acha waisome nambaee""hapa kazi tu".ndo hivyo twende sambamba na hali
haujambo lkn..?