Kuna kampuni kibao zinauza bati, wengine saiz hadi usafiri wanagharamia wao wenyew kulingana na idadi ya bati. Wanachofanya bei wanataja wanayojua na usafiri itajilipa humo humo. Search fb, insta utawapa wengi tu. Na namba za simu kuwasiliana utazipata. Wahoji utakavyopenda
Alaf
Ando
Dragon...
Mwanangu, ngoja nishare uzoefu wangu
Nilifanya hii mambo 2015/16 japo indirect. Aisee inalipa, siku za wkend nilikua naenda Ilala pale asubuhi saa 11 niko kweny gari kutokea River-side. Nilikua nikifika pale nafanya survey kwanz kama dakika 10 to 20 hiv kuona wapi leo napata viwalo vikali...
Umenifanya niwaze kwa mwaka niliomaliza chuo ningesema nifanye biashara kwa kuanza hata na laki 5 saiz sijui ningekuwa na biashara kubwa kiasi gani.
Ila mwana, piga hiyo reja reja. Anza na vitu fast moving na vyenye faida. Badae ukijiongeza tafuta na laini za ongea biashara ya miamala. Mil 1...
Nimeelewa mengi sana niliyokua najiiza.
Sorry, naomba nijazie maswali.
Je ninaweza nikasajili kampuni na ikawa haifanyikazi?
Na nikishasajili kama sijaanza operations kuna haja ya kwenda TRA kupata TIN?
Kama tumesajili bila kuwa na TIN tunaweza pata bank account ili tuelendelee na ukusanyaji...
Dah huu uzi umenihamasisha sana. Nimejifunza mengi kuhusu bati.
Mnatoa warrant card? Naona watu wanaongelea sana Alaf na Ando lakin naona huku kuna vutia
Aisee mtaji usikupe shida, waza ni eneo gani tu. Kama ni mjini utahitaji mtaji mkubwa kiasi kweli angalau 10 mil ili uwe comfortable. Vinginevyo anza na iliyopo ili ujue kama unahitaji kuongeza au vipi. Changamoto zingine zimesha ongelewa.
Sijawahi kuwaamini Chadema, labda chama kingine kitokeee kipya. Nacho kitokee kutokana na mpasuko wa CCM. Nacho pia kikija naamini hakitakua na ushirikiano wa kweli na vyama vingine vilivyopo. Kitakua na maslahi yake zaidi kuliko kujali wapinzani wenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.