fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 530
- 551
Habar JF..!
Mimi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana JF naombeni mnishauri biashara gani naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa.
NB: Mimi kama mimi nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)
Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.
Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran🙏🙏
Mimi ni kijana, namaliza chuo mwaka huu katika kujibana bana nimeambulia 1.2m. Siku zote kwenye maisha kuomba ushauri ni njia mojawapo wa kujifunza hivyo basi wana JF naombeni mnishauri biashara gani naweza kuifanya na ikanipa chochote kitu kulingana na hali ya sasa.
NB: Mimi kama mimi nawaza nifungue kigenge ili niweze niuze vitu vidogo (kama kaduka hivi)
Sasa nimekuja hapa niweze kuomba ushauri kwenu je mawazo yangu yapo sahihi hayo ya kufungua kiduka??
Na kama yapo sahihi nawezaje kumantain hilo duka.
Na kama mawazo yangu hayapo sahihi nini naweza kufanya biashara gani kwa mtaji huo 1.2m. Naombeni ushauri wenu natanguliza shukran🙏🙏