nina wazo zuri kabisa na nimeliandika la kuanzisha kiwanda cha juisi ambayo ninaimani inahitajika sana tu ila shida mwenye mtaji wa kumshirikisha (wafanyabiashara wakubwa) nani nimuone maana naogopa kudhulumiwa wazo na watu.
Nani naweza kumfata au nikashirikiana naye tukafanya ndoto kuwa kweli??
Kumekuwa na kauli mbalimbali hapa kwetu :-
A. Watawala wanasema siasa ni nzuri na kazi ni muhimu zaidi kuliko siasa
B. Watawaliwa wanasema siasa zimebanwa na hakuna kazi yeyote inayofanyika kidemokrasia.
Sasa wadau nyie mnaona siasa yetu inasonga mbele na kupeperusha bendera ya maendeleo ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.