miss gisenyi
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 699
- 498
nilishakuaga kama fala flan hv amaizing crudii katu kupenda kijingautaweza kweli au selfie itahusika hapo
nilishakuaga kama fala flan hv amaizing crudii katu kupenda kijingautaweza kweli au selfie itahusika hapo
lakini kupenda hakupo hivyo na huwezi kusema sitapenda kwa kiwango fulani kwa kuwa unaweza kujikuta umependal mpaka umepitiliza.Chamsingi nikumpenda na kumthamini uliyenae huku ukiutambua uwepo wake na kuonyesha kila aina ya mapenzi nadhani hiyo itakusaidianilishakuaga kama fala flan hv amaizing crudii katu kupenda kijinga
ibra kuna watu tunapenda mazima kuliko niteseke bora ntulielakini kupenda hakupo hivyo na huwezi kusema sitapenda kwa kiwango fulani kwa kuwa unaweza kujikuta umependal mpaka umepitiliza.Chamsingi nikumpenda na kumthamini uliyenae huku ukiutambua uwepo wake na kuonyesha kila aina ya mapenzi nadhani hiyo itakusaidia
ni kweli kwamba Mapenzi Hayajaribiwi lakini unadhani utakaa Hivyo mpaka lini? Mapenzi ni hisia ambazo huongozwa na Moyo na Siku Zote Moyo Ukimpenda mtu hata ufanyaje lazima Utaumia tu. Wengi wetu hatujui mapenzi Yanahitaji nini? Wengi hatujui thamani Ya mapenzi ni Ipi.. Wengi tunajua ngono ndio Kitu cha mwisho cha kuongeza upendo bila kujua kuwa Ngono ndio Kitu Cha kwanza Kinacholeta Dharau na Usaliti katika Mahusiano.ibra kuna watu tunapenda mazima kuliko niteseke bora ntulie
Ukiona unaendekeza kuchepuka jua unatoa nafasi ya mkeo kuliwa....ibra87 Mi nampenda sana wife..Ni msupa ile mbaya..And i am sure we are the best looking couple in the world..Ila still bado nina kaugonjwa cha kuchepuka..Hili tatizo linatibiwaje?..Kwa maombi ama..
Ha ha haaa!!Kwenye huu uzi kila mtu anajali,anapenda sana,anathamini blah blah blah.........., sasa hao wanaoumiza ni akina nani? Heaven Sent hukuwahi kumuumiza mtu??
Acha aliwe..Cha msingi nisijue tuUkiona unaendekeza kuchepuka jua unatoa nafasi ya mkeo kuliwa....
He hee inategemea. Sasa we kazana kuchepuka ukijipa moyo mkeo anahofu ya Munguaaah hilo nakataa tena katakata.. Wanawake zetu wanahofu Ya Mungu sema waume Zao ndio Tumekuwa mabazazi ingawa na Jinsia Yenu nayo Imezidi sana