Amefunga barabara sehemu ya.vingunguti.karakata na banana.anayetaka kwenda upande wa pili kwa gari sharti aende mpaka magereza ambapo.ni mbali sana.
1. Kwanini hakuweka provisional ya njia mbadala wakati anajenga hivyo vivuko.
2. Kwanini hakuanza kujenga sehemu moja huku kwingine magari...
Leo natoka Kitunda barabara imechongwa na greda. Nimetumia dakika tano kutoka Kitunda mpaka Banana tofauti na awali saa moja. Hongera endelea kuchonga kwenda Kivule, Mwanagati, Magole, Kibeberu.
Thanks and keep it up.
Kuna changamoto kubwa miundombinu Kitunda Magole, Kivule, Mwanagati, Kibeberu, Magole nk hasa kipindi cha mvua.
Kuna tetesi kuwa DMDP Awamu ya Pili mradi wa Benki ya Dumia itajenga barabara hizo kuanza mwezi wa tisa mwaka huu.
Nimejaribu kuserch kwenye web cites sioni sehemu yeyote inatajwa...
Naunga mkono hoja.kwa asilimia mia.mimi ni mkazi wa Kitunda pesa ninayotumia kwa mwaka kutengeneza gari kutokana na ubovu wa barabara na uchelewaji ni mara kumi ya hiyo.kama barabara zote za Dsm especial kitunda wataweka lami waongeze hata 200 kwa lita
Nafanya biashara ya Bar na Gest house. Naombeni msaada wa kijua generator nzuri ya kuweza kusaidia umeme ukikatika.Taa 20 enegy saver muziki na TV.
Bei ya chini ninayoweza kuipata na aina nzuri.
Kila siku silali bila kupata Konyagi chupa ndogo 200 mls, napata usingizi mzuri, napata apetite ya kula, napata relaxation nk.
Je, kiwango hicho kina madhara Konyagi ina faida gani kiafya tofauti na bia?
wanaokataa ndoa wamekwama.hawana ajira.pesa.wala wapenzi.wanataka kupata wajinga wa kufanana nao.unakataaje ndoa ambayo ni mpango wa mungu.tena hao wajinga wanaoendesha hii kampeni ya.kataa.ndoanwachukuliwe hatua na serikali.bila kuwa na.ndoa nchi itapataje wataalamu.wanajeshi .nguvu kazi...
Naomba kufahamu kiwango sahihi cha pombe kinachokubalika kwa siku iwe bia, konyagi, wine, whisky nk.
Mimi huwa napenda sana konyagi na nakunywa kila siku kiwango changu ni konyagi ndogo 200mls napata na club soda mbili nakunywa kwa masaa matatu baada ya kazi kuanzia saa moja mpaka saa nne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.