Amefunga barabara sehemu ya.vingunguti.karakata na banana.anayetaka kwenda upande wa pili kwa gari sharti aende mpaka magereza ambapo.ni mbali sana.
1. Kwanini hakuweka provisional ya njia mbadala wakati anajenga hivyo vivuko.
2. Kwanini hakuanza kujenga sehemu moja huku kwingine magari yaendelee kupita kuondoa usumbufu.
3. Mbona spidi ya ujenzi wa hivyo vivuko ni ndogo sana wakati anajua wananchi tunateseka kuzunguka mpaka magereza.
4. Hebu atuambie atakamilisha ujenzi wa hivyo vivuko.
5. Tunaomba mkuu wetu wa mkoa awalazimishe kwenye vivuko vyote vitatu vya vingunguti.karakata na banana mkandarasi atuwekee njia ya muda magari kupita sehemu hizo uweekano upo kabisa sema wanakosa msukumo.
1. Kwanini hakuweka provisional ya njia mbadala wakati anajenga hivyo vivuko.
2. Kwanini hakuanza kujenga sehemu moja huku kwingine magari yaendelee kupita kuondoa usumbufu.
3. Mbona spidi ya ujenzi wa hivyo vivuko ni ndogo sana wakati anajua wananchi tunateseka kuzunguka mpaka magereza.
4. Hebu atuambie atakamilisha ujenzi wa hivyo vivuko.
5. Tunaomba mkuu wetu wa mkoa awalazimishe kwenye vivuko vyote vitatu vya vingunguti.karakata na banana mkandarasi atuwekee njia ya muda magari kupita sehemu hizo uweekano upo kabisa sema wanakosa msukumo.