Changamoto ya miundombinu ya barabara Kitunda

Changamoto ya miundombinu ya barabara Kitunda

mparange

Member
Joined
Nov 15, 2022
Posts
21
Reaction score
28
Kuna changamoto kubwa miundombinu Kitunda Magole, Kivule, Mwanagati, Kibeberu, Magole nk hasa kipindi cha mvua.

Kuna tetesi kuwa DMDP Awamu ya Pili mradi wa Benki ya Dumia itajenga barabara hizo kuanza mwezi wa tisa mwaka huu.

Nimejaribu kuserch kwenye web cites sioni sehemu yeyote inatajwa.

Wahusika hebu tupeni habari kuhusu hiyo project.
 
CB193AA6-BC54-4DF7-9F14-4B333C165AC9.jpeg
 
Ila kweli asee kuanzia banana mpaka kivule shule unatumia dakika 30 wakati kilometers kumi hazifiki...barabara ndo maendeleo lazima sehemu ipande thamani mfano bunju...
 
Mwenye taarifa za maendeleo ya ujenzi wa baravara Kitunda
.Magole.Msongola.Mwanagati nk kama tulivyoahidiwa atujuze
 
Kulingana na majibu yaliyotolewa bungeni. Upembuzi yakinifu wa bara bara za Dar kujengwa kwa kiwango cha lami utakamilika mwezi April mwaka 2024. Kwa hiyo bara bara zitaweza kuanza kujengwa kuanzia August 2024.
Kwa lugha nyepesi, tangu 2020, kiwango cha ujenzi wa bara bara mpya za lami kwa jiji la Dar ni less than 10 kms per year. (Na mawaziri wa wizara bado wako ofisini)...
Hii ina maana. Mpaka bara bara muhimu za jiji la Dar zipate lami basi hiyo itakuwa mwaka 2059 kwa spidi hii ya konokono!
 
Back
Top Bottom