Tunajidharau wenyewe watu wanakuja tunawapa kila kitu, kisha tunaanza kuwaomba obviously watatudharua tu, kwa ujinga wetu. wazungu, wahindi an waarabu wamekuja tumewapa madini, ardhi, mashamba hadi nyumba za NHC. Kutakuwa na heshima hapo. Ni sawa na mgeni anakuja unamkaribisha chumbani alale an...