Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,309
uwa wanakojoa upepo. Napita tu
ehhh...mabig jaman masmall yana afadhali....UPEPO?
uwa wanakojoa upepo. Napita tu
hawa mamods walivyo na akili mgando wataiacha hii post iendelee kuwepo hapa
<br />
<br />
hapa wataiondoa, ila usishangae kuikuta kwenye jukwaa la DINI
uwa wanakojoa upepo. Napita tu
unahangaika bure kujibu wakati mtoa mada hana access na hili jukwaa alipost kuptia jukwaa la mahusianombona hampatii jibu hili si jukwa la wakubwa? Au muliza swali ni mtoto?. Kama ninavyofahamu mwanamke wakati wa tendo la kujamiana(kuto**ana)hutoa maji yanayoteleza kulainisha uke na sio kwamba amekojoa ila si wote wanaokojoa kama huna uzoefu. Kukojoa kunaozungumzwa ni mwanamke anapokaribia kufika kileleni hutokwa na maji yasiyoteleza kama vile mkojo wa kawaida lakini hauna harufu yeyote kama wa mkojo na kama amekulalia kifuani anakuloanisha maeneo ya mavuzi, na ili ufanikiwe hilo ni mpaka usisimue kinembe chake kwa ulaini sana au g -sport ambayo ipo kwa ndani ya uke usawa kinembe. Sasa baada hatua hiyo ndio hufika kileleni na wakati huo wanawake wengine hukubana kwa nguvu huko akitoa sauti isiyo ya kawaida na misuli ya uke wake hubana uume(mb*o*) wako hadi raha. Kwa wengine akianza kutoa sauti baada ya muda anakurusha naye anajikunyata mwenyewe na hataki umguse mpaka baada dakika 5 hadi 10. Hivyo kukojoa ni hatua ya kufika kileleni na mwanake anaweza kukojoa (squirt) zaidi ya mara moja kwa tendo moja ila akishafika kileleni kama nilivyoeleza wanawake huchukua muda mrefu kurudia na baadhi hupata kausingizi na akiamka kama ni mkeo asubuhi ataamka mapema kukuandalia kifungua kinywa kwa upendo.
<br />unahangaika bure kujibu wakati mtoa mada hana access na hili jukwaa alipost kuptia jukwaa la mahusiano
ilikuwa jukwaa la mahusiano ikaamishwa kwa kuwa inaongelea mambo ya wakubwa<br />
<br />
Sikujua hilo, sasa kwanini wameiweka huku wakijua hawezi ku ingia humu?
<br />
<br />
Hivi hiki google ni nini? Kilakitu utasikia google, google! Ni aina ya simu au chakula ama ni kifaa gani jamani? Isije kuwa ni msamiati mpya kama Masaburi. Na hii sredi ni masaburi au google? Mwe!!
Topic nzuri tu hii kuna wanaume kibao humu hawajui/hawawafikishi wake/madem zao sababu ya kutojua maandalizi ama haraka zao so watu waelewe maana ya mwanamke kufika kileleni maana yake kama alivojaribu kuelezea mkuu Suip
<br />Naona wengi kwa kukosa majibu ya uhakika wanaishia kumkashifu/kumbeza tu mleta mada. Kwangu mimi hili ni swali la msingi tu na hapa pengine ndio mahala pake pa kuuliza na kupata majibu bila haya/soni. Kwa bahati mbaya elimu hii ni nadra sana kutolewa katika njia rasmi kama shule nk na hivyo kumekuwapo na upotoshaji mkubwa tu....hata watu wazima (wake kwa waume) wengine ukiwasikiliza mara nyingine unaona gap kubwa tu la knowledge liliopo katika eneo hili. So tunaweza kufunzana hapa kwa uwazi tu tukijificha kwa ID zetu!<br />
<br />
Nijuavyo mimi mwanamke anapofika kileleni (orgasm) sio lazima 'akojoe' chochote kama ilivyo kwa mwanaume. Ute (lubricants!) unaotolewa na mwanamke katika hatua za awali (arousal) sio 'mkojo' na sio kiashiria cha orgasm. Wengi hata hawafiki kabisa kileleni. Tuache kwa makusudi controversial phenomenon ya female ejaculation (ambayo essentially inatumia system ya mkojo na sio uke).<br />
<br />
Labda kujaribu ku rephrase swali: Ni ishara gani tunaweza kuziona/hisi/sikia zinaashiria mwanamke amefikia orgasm?" - angalia macho yake (pupils) zake, rangi sehemu za kifuani - hasa wanawake weupe, mapigo ya moyo, uhemaji wake, muscle contractions (vaginal) etc.
Ndoa nzuri jamani usipimeeeee! Mkuu umeeleza kwa ufasaha sana, natumaini wengi tumefaidi sana humu. So ukiona Mkeo hajakuandalia chai maana yake hukumpa vitu vya uhakika usiku?Mbona hampatii jibu hili si jukwa la wakubwa? Au muliza swali ni mtoto?. Kama ninavyofahamu mwanamke wakati wa tendo la kujamiana(kuto**ana)hutoa maji yanayoteleza kulainisha uke na sio kwamba amekojoa ila si wote wanaokojoa kama huna uzoefu. Kukojoa kunaozungumzwa ni mwanamke anapokaribia kufika kileleni hutokwa na maji yasiyoteleza kama vile mkojo wa kawaida lakini hauna harufu yeyote kama wa mkojo na kama amekulalia kifuani anakuloanisha maeneo ya mavuzi, na ili ufanikiwe hilo ni mpaka usisimue kinembe chake kwa ulaini sana au G -Sport ambayo ipo kwa ndani ya uke usawa kinembe. Sasa baada hatua hiyo ndio hufika kileleni na wakati huo wanawake wengine hukubana kwa nguvu huko akitoa sauti isiyo ya kawaida na misuli ya uke wake hubana uume(mb*o*) wako hadi raha. Kwa wengine akianza kutoa sauti baada ya muda anakurusha naye anajikunyata mwenyewe na hataki umguse mpaka baada dakika 5 hadi 10. Hivyo kukojoa ni hatua ya kufika kileleni na mwanake anaweza kukojoa (squirt) zaidi ya mara moja kwa tendo moja ila akishafika kileleni kama nilivyoeleza wanawake huchukua muda mrefu kurudia na baadhi hupata kausingizi na akiamka kama ni mkeo asubuhi ataamka mapema kukuandalia kifungua kinywa kwa upendo.