Jamani trust me mie wala sipendi
Naogopa kuwagombanisha
Naogopa kuwagombanisha
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Asaanteni wote mliotoa ushauri wa maana, kuna wengine wametoa ushauri mbaya ETI nimpe, I cant do that. Nilicho amua nataka nimkamaishe live akianza kamchezo kake.
Nitasubiri Mr akituacha akisha anza tu mi natulia then namtumia mr text aje amwone live
Thanks so much ila KIDUDE changu sitoi ng'o
Asaanteni wote mliotoa ushauri wa maana, kuna wengine wametoa ushauri mbaya ETI nimpe, I cant do that. Nilicho amua nataka nimkamaishe live akianza kamchezo kake.
Nitasubiri Mr akituacha akisha anza tu mi natulia then namtumia mr text aje amwone live
Thanks so much ila KIDUDE changu sitoi ng'o
NE kama kweli umeamua hivyo that is good.... wish you luck ...
Hapo nilipobold hapo ndio penyewe.................. yaani some pipo sometimes.....nomaa
Asaanteni wote mliotoa ushauri wa maana, kuna wengine wametoa ushauri mbaya ETI nimpe, I cant do that. Nilicho amua nataka nimkamaishe live akianza kamchezo kake.
Nitasubiri Mr akituacha akisha anza tu mi natulia then namtumia mr text aje amwone live
Thanks so much ila KIDUDE changu sitoi ng'o
Haiwezekani kabisa mtu akaanza kukupapasa bila ridhaa yako aidha unapenda au kakuona unaingilika.Kwa mwanamke wa kawaida huyu jamaa angeambulia kofi na kumwagiwa kinywaji na angeondoka hata kabla ya jamaa kurudi.Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Kwahiyo angekuwa type yako ungempa ??Jamani msinielewe vibaya, mi wala siyo type yangu kwanza