Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

Unamaanisha Mjengwa au siyo? Kwani amefanya nini kuhusiana na Mwangosi? Maana nafahamu alichangisha fedha kwa ajili ya mjane sasa je alizinywa ama?

Lowasa hafai, hao vijana unaowasema wamekosa kazi kwa sbabu walifunga saloon zao kwa kukosa umeme sababu ya Richmond. Huyu ni wa kufunga jela sema bahati yake hakukutana na jk barabarani

Hapana..hakuzinywa. Waandishi wenzie waligoma kuandika habari za Jeshi la Polisi baada ya mauaji ya Mwangosi yeye akaendelea kuandika.
 
Na Huyu Tumwite Nani Kwa Kutamka Haya Mwaka 1987, miaka 25 iliyopita?


[“It is not that peace has come by itself. The source of peace in Tanzania is not that the Arusha Declaration has done away with poverty even a little bit. Isn’t there this poverty we are still living with? This poverty is right here with us. It is not the same economy we are grappling with? The fact is not that the Arusha Declaration has banished poverty even by an iota – nor did it promise to do so. The Arusha Declaration offered hope. A promise of Justice, hopes to the many, indeed the majority of Tanzanians continue to live this hope. So long as there is this hope, you will continue to have peace. Here in Tanzania we have poverty but no ‘social cancer’. It is possible it has just begun. But otherwise we don’t have a social cancer. There isn’t a Volcano in the making, that one day it is bound to erupt. We have not yet reached that stage because the people still have hopes based on the stand taken by the Arusha Declaration. It did not do away with poverty but it has given you all in this hall, capitalists and socialists alike, an opportunity to build a country which holds out a future of hopes to the many.

To be sure, you few Waswahili, do you really expect to rule Tanzanians through coercion, when there is no hope? When there is no hope, and then expect that they will sit quiet in peace? Peace is born of hope, when hope is gone, there will be social upheavals. I’d be surprised if these Tanzania refuse to rebel, why?

When the majority don’t have any hope you are building a volcano. It is bound to erupt one day. Unless these people are fools. Many in these countries are fools, to accept being ruled just like that. To be oppressed just like that when they have the force in numbers, they are fools. So Tanzanians would be fools, ****** (imbecile, morons, retarded/majuha), if they continued to accept to be oppressed by minority in their own country. Why?

Therefore we cannot say that we have now reached a stage when we can forget the Arusha Declaration. Don’t fool yourselves. This would be like that fool who uses a ladder to climb and when he is up there kicks it away. Alright, you are up there, you have kicked away the ladder, right, so stay there because we will cut the branch. You are up there, we are down here and you have kicked away the ladder. This branch is high up, we will cut it. Your fall will be no ordinary fall either.

Let me say no more. It is sufficient to say we should accept our principles, we should continue with our principles of building peace and peace itself. Tanzanians should continue to have faith in the party, in the government and in you in positions. Tanzanians should see you as part of them not their enemies. They should trust the party, the government and you who have opportunities for there is no country where everyone is equal. These fingers of mine are not equal, and in that sense there is no such equality anywhere.”]

Julius Kambarage Nyerere, (1987), A Speech Published in Shivji, I (2000): “Critical Elements of a New Democratic Consensus in Africa", (pp.25-38), In Othman, H (2000) (ed.): “Reflections on Leadership in Africa: 40 years of independence".

Hakuna mahali imeandikwa kwamba kutakua na idadi ya watu wenye maono [visionaries ] Nyerere was one among many.
 
Anyways, EL aliliona hili mapema na alilisema mapema. Angekua kwenye power haya yasingetokea. Serikali ya sasa imefanya juhudi za kichekesho za kuinua kiwango cha ajira nchini, mfano ni Kilimo Kwanza.

KWani EL alikwambia angefanya nini ili yasitokee?
Na muda aliokuwa PM alifanya nini hata kuweka msingi wa kutatua tatizo hili?
 
lol, u r ready to make excuses about anything ..don't you!?
alipokua ana-fire watu on - the spot (bila busara, of coz) alikua anatumia powers gani?
ukweli ni kwamba the guy is useless self-serving bas.tard..if this country can count on this kind 'leaders' in 2015 it is obvious our fate is sealed.

Unajua kwamba kwa mujibu wa katiba yetu PM siyo policy maker? Ni mtekelezaji, he did not run for election to be a PM, he was picked to be a PM. Kwa hiyo hana policies zake yeye as PM ambazo anaweza kuzitekeleza.
 
wewe kilaza kwel,yani unamaanisha kwa hilo la ajira lowasa ndio alikufungua akili,nilidhani kidogo tanzania tumejaribu kupambana na adui mmoja wa umasikini yaani ujinga kumbe badooo kabisa,eeh mola tusaidie sisi watanzania kwan hali inatisha
 
siku anajiuzulu uwazir mkuu alilalamika na kusema,kamati hii haikunitendea haki, akimaanisha principle of natural justice were not followed.kumbe mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu alivyomfaya yule mwandisi wa kinondon,he adhered to principle of natural justice.without forgetting that he also adhered to labour laws. THE VISIONARY
 
Mm Sidhani kama yeye ni mtu wa kwanza kusema hilo na wala hatakuwa wa mwisho. Kwamba Pasipo ajiri vijana ni bomu linalusubiri kulipuka nimelisikia miaka mingi sana, na itaendelea kusemwa.
 
Waislamu linapo kuja suala wanalo aminishwa kuwa ni la kutetea dini yao,wenye ajira na wasio nazo hujing'oa akili na kutenda kama wehu.
 
EL amekua akipiga kelele mpaka sauti kumkauka kwamba vijana wasio na ajira ni bomu linalosubiri kulipuka. Ameongea kwenye majukwaa, mashuleni hata vikao vya ndani ya CCM. Vurugu zote zinazoendelea leo ni kutokana na umasikini na kukosekana kwa fursa [ opportunities] kwa vijana wengi nchini. Ajira hamna, vikwazo visivyo na maana katika ujasiriamali, manyanyaso na kujuana kumepelekea suala dogo kuyumbisha nchi. Amani tunayoichukulia for granted inaanza kuyeyuka nchini mwetu.
Licha ya kwamba kuna udhaifu wa serikali yetu wa kutochukua hatua mapema kwa vitendo vya uvunjifu wa amani, kutokufuatutilia madai halali yanayolalamikiwa na waislamu, sera za CCM za divide and rule, ni wazi kwamba sakata hili limechocheka kwa kiasi kikubwa na vijana wanaokaa vijiweni kwa kukosa ajira.
Lowassa angekuwepo haya yasingetokea.

Siyo mshabiki mkubwa wa Mjenga, hasa baada ya sakata la Mwangosi, lakini leo hebu soma hii masterpiece yake leo
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/340157-ya-mbagala-na-bedui-aliyekojoa-msikitini.html

To me this sounds stupid! Unawezaje kumutenganisha Lowasa na tabia hizo?

Lowasa kampa nani fursa ya kuendelea? Ulafi wake kamugawia nani. Udokoaji wake angefanya nje ya nchi na kutuletea ndani, ningesema yeye shujaa. Sasa yeye anabeba hapa na kupeleka anakoelewa yeye!

Unaseam vijana wanateswa na manyanyaso na kujuana. Mbona jamaa yako huyu ndo anaongoza kwa hayo? Kule Monduli kaanzisha NGO ambazo kama wewe si mmaasai huwezi kupata lolote. Hata wanafunzi hawaruhusiwi kufanya mazoezi hapo kama si maasai.

Hata hivyo yanayotokea leo hii, yeye ni sehemu ya uozo huo. Alihusika sana na sitegemei jipya toka kwake. Ni sehemu ya uchafu wake na marafiki zake ndo unaiweka nchi ilipo.
 
Na ndo maana wanataka kumpa nchi wakimwita the next president of tanzania napia ana tufaaaa sana sisi
 
Kwani uchafu wa Lowasa ni UPI unaozidi uchafu mwingine? Huko MAGAMBA wote Wachafu. Balaa lilomkuta EL ni kuwa Wachafu wenzie walimuwahi kisiasa na "KUMPAKAZIA". Lakini Kati ya "MASHETANI" kuna shetani aliye bora kuliko wengine, naye ni EL

I can see your point. Lakini hatujafikia mahali pa kubakiwa na mashetani watupu kiasi cha kulazimika kuchagua aliye "bora" miongoni mwao! We deserve better.
 
Hakuna jipya hapa. Lowassa, Kikwete na Rostam lao ni moja.
Labda mtoa mada tu ndiye asiyetambua kuhusu tatizo la ajira kwa vijana. Nothing new.
 
Hakuna mahali imeandikwa kwamba kutakua na idadi ya watu wenye maono [visionaries ] Nyerere was one among many.

Kwame Nkrumah:

Maana ya Visionary ni: A person with unusual powers of foresight; Je unaweza kumjadili Lowassa katika muktadha husika kwa kutumia maana ya dhana hii?

What is so unusual kuhusu alichozungumza Lowassa? Nadhani hata Lowassa mwenyewe sana sana atakubali kuchukua credit kwa kulizungumzia akiwa kiongozi wa CCM, lakini atakwepa kwa kila njia kuitwa A Visionary kwa suala ambalo hata yeye anajua fika kwamba ameligundua kupitia tafiti na ripoti mbalimbali;

Suala hili limekuwa likizungumzwa kwa miaka mingi sana, kwa mfano rejea tafiti za REPOA, ESRF, na pia kutoka taasisi nyingine nyingi za nje ya nchi zinazojishughulisha na masuala ya Sera za Kutokomeza Umaskini Afrika; Suala hili limejadiliwa kwa kina sana pamoja na athari zake kwa miaka mingi, kabla hata Kikwete hajawa Rais wa Tanzania;

Kwame Nkrumah, kama tunampenda Lowassa kwa uongozi wake,jambo ambalo ni sahihi kabisa, tujaribu kumuunga mkono kwa hoja nzito, sio hizi nyepesi nyepesi; Lowassa anastahili sifa kubwa kwa kuwa Kiongozi wa CCM kulisemea hilo wakati wengine wakiwa wamelala, lakini tusinogewe na kuanza utamaduni wa kumjengea sifa zinazombatiza mambo mengine ambayo hata yeye anajua bado hastahili; Itafikia wakati tutasema Lowassa ni Visionary, lakini wakati huo sio sasa;
 
if not cdm 2015 basi awe lowassa manake ndani ya ccm mimi naamini hamna kifaa kama lowassa.
sifa kubwa ya lowassa ni elements za kibabe alizonazo
lowassa sio mtu wa kuchezea, au wa kumletea usanii uchwara

lowassa ni mbabe na hii nchii inahitaji ubabe wa lowassa .

kashfa za richmond ni uzushi na chuki za sitta samwel za kunyimwa uwaziri mkuu.lowassa aligeuzwa mbuzi wa kafara .

hatuitaji rais wa aina ya membe au asha migiro.

tunataka wabebe wanaoogopwa, wanaofukaza watendaji kazi on spot

viva lowassa , lowassa 4 ccm 2015

cdm ikiteleza nafuu tudondokee kwa lowassa na sio akina membe
 
Lets put it this way "Nyerere [ au Dr. Slaa, au Mrema, au JK, au Lipumba, au Zitto] amesema ukosefu wa ajira ni bomu linalosubiri kupasuka"
Je kauli hii ina ukweli kama tukibadilisha jina la msemaji????
hatuhitaji darubini kuona tatizo la ajira, yeyote mwenye timamu analiona, na wengi wamelisema sasa sijui kwanini unaliatachi kwae tu huyo fisadi mwandamizi, tabia zake za ufisadi zinasababisha ukosefu wa ajira naye anajua wee unaita vision come on!
 
Nkruma umenena jambo jema, sisemi hivyo kwa sbb natoka A town, ila watalaumu cna juu ya EL, ila nchii inahitaji mtu kama EL, wanaombeza ni wahuni na wasiopenda maendeleo ya nchii hii.
 
Back
Top Bottom