Recent content by moyafricatz

  1. moyafricatz

    PreGE2025 Kisarawe kumekucha, DC. Magoti atangaza yeye sio DC wa "mpeche mpeche", watakaoleta mchezo atawang'oa visogo

    Mhe Magoti ajiamini tu kuwa yeye ni DC... Aache kauli za vitisho maana powers belongs to the people. I understand anaweza akawa social' akawa na utani kwa hadhara lakini anaweza kuifanya hiyo bila vitisho. Nchi hii ilipofika haiitaji vitisho.
  2. moyafricatz

    Mpangaji sema unataka kupanga wapi mwenye nyumba akujibu mmalizane bila udalali

    Nahitaji nyumba vyumba vitatu kimoja self, public toilet jiko na lounge eneo kuanzia tazara, vertinary temeke, kata 14 ,mwembe yanga na temeke mwisho.
  3. moyafricatz

    Waziri Aweso aigaza DAWASA kuboresha miundombinu ya uzalishaji maji ya Ruvu Chini na Ruvu Juu

    Nimekuja kugundua watendaji wanaleta mchezo sana na maisha ya watanzania. Yaani pampu mpya kununuliwa ni shida..?? Mpaka watu wanakosa huduma??? Jamani kuna huduma nyingine ni za msingi kama maji sio za kuleta siasa.
  4. moyafricatz

    Injini ya Airbus ya Air Tanzania ilipata hitilafu ikiwa angani Februari 24, 2024

    Ingekua Precision ndo moshi umeonekana wangesema ndege mbovu.
  5. moyafricatz

    Rais Ruto adaia Serikali ya Uhuru Kenyatta ilikuwa na Bajeti ya kuhonga Mahakama

    Let Uhuru govt rests You're incharge now ,show us your skills. Don't blame one who already left the office .
  6. moyafricatz

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Naomba namba yake pm
  7. moyafricatz

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    "Everything denotes that there's GOD"
  8. moyafricatz

    Daniel Chongolo awa Katibu Mkuu CCM

    Kwa hiyo Makonda kawa Katibu Mkuu wa CCM.?...
Back
Top Bottom