Mhe Magoti ajiamini tu kuwa yeye ni DC...
Aache kauli za vitisho maana powers belongs to the people.
I understand anaweza akawa social' akawa na utani kwa hadhara lakini anaweza kuifanya hiyo bila vitisho.
Nchi hii ilipofika haiitaji vitisho.
Nimekuja kugundua watendaji wanaleta mchezo sana na maisha ya watanzania.
Yaani pampu mpya kununuliwa ni shida..??
Mpaka watu wanakosa huduma???
Jamani kuna huduma nyingine ni za msingi kama maji sio za kuleta siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.