Recent content by moyafricatz

  1. moyafricatz

    Mpangaji sema unataka kupanga wapi mwenye nyumba akujibu mmalizane bila udalali

    Nahitaji nyumba vyumba vitatu kimoja self, public toilet jiko na lounge eneo kuanzia tazara, vertinary temeke, kata 14 ,mwembe yanga na temeke mwisho.
  2. moyafricatz

    Waziri Aweso aigaza DAWASA kuboresha miundombinu ya uzalishaji maji ya Ruvu Chini na Ruvu Juu

    Nimekuja kugundua watendaji wanaleta mchezo sana na maisha ya watanzania. Yaani pampu mpya kununuliwa ni shida..?? Mpaka watu wanakosa huduma??? Jamani kuna huduma nyingine ni za msingi kama maji sio za kuleta siasa.
  3. moyafricatz

    Injini ya Airbus ya Air Tanzania ilipata hitilafu ikiwa angani Februari 24, 2024

    Ingekua Precision ndo moshi umeonekana wangesema ndege mbovu.
  4. moyafricatz

    Rais Ruto adaia Serikali ya Uhuru Kenyatta ilikuwa na Bajeti ya kuhonga Mahakama

    Let Uhuru govt rests You're incharge now ,show us your skills. Don't blame one who already left the office .
  5. moyafricatz

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Naomba namba yake pm
  6. moyafricatz

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    "Everything denotes that there's GOD"
  7. moyafricatz

    Daniel Chongolo awa Katibu Mkuu CCM

    Kwa hiyo Makonda kawa Katibu Mkuu wa CCM.?...
  8. moyafricatz

    Naomba kufahamishwa mahali zilipo ofisi za Selcom kwa Dar es Salaam

    Kama unahitaji approval yetu wanadamu basi kwa kauli moja tunasema "NENDA WAIBUKIE"
  9. moyafricatz

    Foleni kubwa isiyo na msingi barabara ya Kilwa

    Tunaomba maaskari wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani kuingilia kati kwani watu wanachelewa kwenye majukumu yao ya kitaifa, wanafunzi n.k. Kuna foleni kubwa inayoendelea kurefuka kutoka kwa round about ya kwa Aziz Ally inaendelea mpaka kwenye daraja la treni hapa Mtongani mpaka Mbagala mission...
  10. moyafricatz

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hii ni Kero isiyoelezeka kabisa. Kila wiki tanesco wanakata umeme mtaani kwetu na inaathiri nyumba takribani kumi. Utakuta mtu umepigika na mgao wa siku nzima alafu jioni umeme umerudi mnakula mgao mdogo wa nyumba kumi. Mara nyingi tukiwapigia tanesco kwenye customer care line yao 0748550000...
  11. moyafricatz

    Ufukwe wa Coco Beach Umeuzwa?

    Habari Wakuu, Kuna fencing imewekwa hapa kuzuia. Watu wasiingie sambamba na tangazo kubwa la Manispaa ya Kinondoni likipiga marufuku. Ni nini kinaendelea hapo? Wajuzi karibuni.
  12. moyafricatz

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Biteko kuzungumza na wafanyakazi wa TANESCO

    Hongera biteko kwa andiko lako. Jipe promo
  13. moyafricatz

    Tanzania nchi ya ajabu. Mambo mazito kaongea Rais Samia ila nchi kimya

    Hotuba ya jana kule Mbeya kamtaja sana DESO na PCCB kwamba wanafanya nini? Mawaziri hawaripoti. Wakuu wa wilaya Wakuu wa mikoa Mpaka kassim majaliwa apite huko ndo aseme.
Back
Top Bottom