Nimekuja kugundua watendaji wanaleta mchezo sana na maisha ya watanzania.
Yaani pampu mpya kununuliwa ni shida..??
Mpaka watu wanakosa huduma???
Jamani kuna huduma nyingine ni za msingi kama maji sio za kuleta siasa.
Tunaomba maaskari wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani kuingilia kati kwani watu wanachelewa kwenye majukumu yao ya kitaifa, wanafunzi n.k.
Kuna foleni kubwa inayoendelea kurefuka kutoka kwa round about ya kwa Aziz Ally inaendelea mpaka kwenye daraja la treni hapa Mtongani mpaka Mbagala mission...
Hii ni Kero isiyoelezeka kabisa.
Kila wiki tanesco wanakata umeme mtaani kwetu na inaathiri nyumba takribani kumi.
Utakuta mtu umepigika na mgao wa siku nzima alafu jioni umeme umerudi mnakula mgao mdogo wa nyumba kumi.
Mara nyingi tukiwapigia tanesco kwenye customer care line yao 0748550000...
Habari Wakuu,
Kuna fencing imewekwa hapa kuzuia. Watu wasiingie sambamba na tangazo kubwa la Manispaa ya Kinondoni likipiga marufuku.
Ni nini kinaendelea hapo?
Wajuzi karibuni.
Hotuba ya jana kule Mbeya kamtaja sana DESO na PCCB kwamba wanafanya nini?
Mawaziri hawaripoti.
Wakuu wa wilaya
Wakuu wa mikoa
Mpaka kassim majaliwa apite huko ndo aseme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.