LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
Duh...Hilo zuio la mahakama chadema hawawezi kukata rufaa?
Itakusaidia nini wewe bwege ?!.Wao CHADEMA wamesajilliwa kupitia msajili wa vyama vya siasa
Jina la CHADEMA limeingiaje hapo? Wakati CHADEMA imefungiwa shughuli zake
Wakirudia tena msajili afute CHADEMA
Wanatafuta Chadema kufutwa na itafutwa kweliItakusaidia nini wewe bwege ?!.
Jeshi la Polisi limezuia kufanyika Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche na waandishi wa habari ulokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, kwa maelezo kwamba chama hicho kimezuiwa na Mahakama kufanya shughuli za Siasa.
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chadema, Brenda Rupia amesema wa wakati wakiandaa kwa mkutano huo, walifika watu waliojitambulisha kuwa ni maofisa wa polisi na kuzuia ufifanyike.
"Walikuja maofisa wa polisi wakasema CHADEMA imezuiwa kufanya kazi hivyo tusifanye mkutano. Lakini huu mkutano nimeuitisha mimi kama Brenda, sio wa chama," amesema.
Alipoulizwa kuhusu zuio hilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amehoji, "wanalalamika nini? Basi tunafuatilia wasichokijua na ambacho wanakilalamikia."
Taarifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleoa (CHADEMA)
Jeshi la Polisi limezingira hotel ya Seashells Millennium Hotel na kuwaamuru waandishi wa habari kuondoka, Makamu Mwenyekiti - Tanganyika John Heche alitarajia kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari hotelini hapo leo tarehe 17 Juni 2025. Jeshi hilo limedai kuwa Chadema wamezuiliwa kujishughulisha na shughuli yoyote ya kisiasa.
POSTPONED (PP): John Heche anazungumza na Watanzania kupitia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam, Julai 17, 2025
Polisi alivamia press na kuamuru Waandishi wa Habari wazime Kamera zote.
Suala la kisheria halibishaniwiJeshi la Polisi limezuia kufanyika Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche na waandishi wa habari ulokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, kwa maelezo kwamba chama hicho kimezuiwa na Mahakama kufanya shughuli za Siasa.
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chadema, Brenda Rupia amesema wa wakati wakiandaa kwa mkutano huo, walifika watu waliojitambulisha kuwa ni maofisa wa polisi na kuzuia ufifanyike.
"Walikuja maofisa wa polisi wakasema CHADEMA imezuiwa kufanya kazi hivyo tusifanye mkutano. Lakini huu mkutano nimeuitisha mimi kama Brenda, sio wa chama," amesema.
Alipoulizwa kuhusu zuio hilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amehoji, "wanalalamika nini? Basi tunafuatilia wasichokijua na ambacho wanakilalamikia."
Taarifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleoa (CHADEMA)
Jeshi la Polisi limezingira hotel ya Seashells Millennium Hotel na kuwaamuru waandishi wa habari kuondoka, Makamu Mwenyekiti - Tanganyika John Heche alitarajia kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari hotelini hapo leo tarehe 17 Juni 2025. Jeshi hilo limedai kuwa Chadema wamezuiliwa kujishughulisha na shughuli yoyote ya kisiasa.
POSTPONED (PP): John Heche anazungumza na Watanzania kupitia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam, Julai 17, 2025
Polisi alivamia press na kuamuru Waandishi wa Habari wazime Kamera zote.
Nami ndicho kinishangazacho! Hapa polisi wanalaumiwa bure!Duh...Hilo zuio la mahakama chadema hawawezi kukata rufaa?
Utamkumbuka tu Magufuli kenge weweKila Ubaya utalipwa tu
Kuhusu mimi kuwa Kenge ni kweli ila siwezi kumkumbuka Muuaji Magufuli, Katili na muasisi wa siasa za kishamba TanzaniaUtamkumbuka tu Magufuli kenge wewe
Wamezuia venue, lakini si kutoa ujumbe waoJeshi la Polisi limezuia kufanyika Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche na waandishi wa habari ulokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, kwa maelezo kwamba chama hicho kimezuiwa na Mahakama kufanya shughuli za Siasa.
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chadema, Brenda Rupia amesema wa wakati wakiandaa kwa mkutano huo, walifika watu waliojitambulisha kuwa ni maofisa wa polisi na kuzuia ufifanyike.
“Walikuja maofisa wa polisi wakasema CHADEMA imezuiwa kufanya kazi hivyo tusifanye mkutano. Lakini huu mkutano nimeuitisha mimi kama Brenda, sio wa chama,” amesema.
Alipoulizwa kuhusu zuio hilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amehoji, “wanalalamika nini? Basi tunafuatilia wasichokijua na ambacho wanakilalamikia.”
Mmeo Heche anamkumbuka Magufuli kila mkutano wakeKuhusu mimi kuwa Kenge ni kweli ila siwezi kumkumbuka Muuaji Magufuli, Katili na muasisi wa siasa za kishamba Tanzania
Chawa wewe!Wao CHADEMA wamesajilliwa kupitia msajili wa vyama vya siasa
Jina la CHADEMA limeingiaje hapo? Wakati CHADEMA imefungiwa shughuli zake
Wakirudia tena msajili afute CHADEMA
sikio la kufa halisikiagi dawa hatakama linatoa damu na usaha,Jeshi la Polisi limezuia kufanyika Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche na waandishi wa habari ulokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, kwa maelezo kwamba chama hicho kimezuiwa na Mahakama kufanya shughuli za Siasa.
Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chadema, Brenda Rupia amesema wa wakati wakiandaa kwa mkutano huo, walifika watu waliojitambulisha kuwa ni maofisa wa polisi na kuzuia ufifanyike.
"Walikuja maofisa wa polisi wakasema CHADEMA imezuiwa kufanya kazi hivyo tusifanye mkutano. Lakini huu mkutano nimeuitisha mimi kama Brenda, sio wa chama," amesema.
Alipoulizwa kuhusu zuio hilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amehoji, "wanalalamika nini? Basi tunafuatilia wasichokijua na ambacho wanakilalamikia."
Taarifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleoa (CHADEMA)
Jeshi la Polisi limezingira hotel ya Seashells Millennium Hotel na kuwaamuru waandishi wa habari kuondoka, Makamu Mwenyekiti - Tanganyika John Heche alitarajia kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari hotelini hapo leo tarehe 17 Juni 2025. Jeshi hilo limedai kuwa Chadema wamezuiliwa kujishughulisha na shughuli yoyote ya kisiasa.
POSTPONED (PP): John Heche anazungumza na Watanzania kupitia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam, Julai 17, 2025
Polisi alivamia press na kuamuru Waandishi wa Habari wazime Kamera zote.
