Mwigulu alikwenda kukagua kama kuna wanafunzi wengine wanasomea majina ya wenzao kama yeye. Lakini akakuta wote majina ni yao na alali. Unajua ukisomea majina ya wenzako unatapatapa sana:target:
bila shaka wameshakula matapishi ya magamba na ndio maana baada ya kuvuliwa yanaelekea kuwa vazi rasmi na hii imeonyesha kuwa ccm ni chama cha upinzani baada ya uchaguzi unaokuja
Si ndio maana mpesya kamfukuza diwani wa cdm kule kahama asile chakula wakati wa mziara ya waziri mkuu!!!!!!!!!!!!!!ccm ni ufisadi ufisadi tu!!!!!!!!!!!!
pEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS,SULUHISHO ONDOA SERIKALI MYA CCM WEKA SERIKALI YA CHAMA KINGINE 2015. KAMATA WALIOFILISI NCHI SHITAKI WAKITIWA HATIANI TAIFISHA MALI. WALIOUA WATU PELEKA THE HAGUE,WEKA SAWA KATIBA PUNGUZA MADARAKA YA RAISI,ONDOA WAKUU WA WULAYA TEULIWA...
Hao wamama wamejitambulisha kuwa ni wanaccm,wametota kabisa. Hawana jipya,si wamwambie JK naye atekeleze yake maana naye alihaidi na akashinda;si ndiye mkuu wa dola. Pia wakae chini wajue kuwa cdm huwa haigawi pesa, ccm ndio wanao gawa pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.