Mkuu kitero, umetusahau Mbeya, Magamba yanajuta mkoa huu kuwa sehemu ya tz.
ok safi sana makamanda kama mlisha fikia hatua hiyo.kazi kubwa imebakia Udom Tanga,Lindi,Mtwara,na hivi vimkoa vidogodogo.
Mkuu kitero, umetusahau Mbeya, Magamba yanajuta mkoa huu kuwa sehemu ya tz.
Nimeipenda sana hii ina ujumbe tosha!
Kweli kamanda Agree with you! kaharibu picha. litakuwa gamba!Hii hata mimi nimeikubali tatizo huyo chalii hapo ndio kaharibu picha ya wamama, sijui askari huyo? amejikauuusha.
Ritz nitafurahi sana kama mikoa mingine itachukua demo la mikoa ya kanda ya ziwa na kule Arusha. Mimi nahamasisha mkoani mwangu na hii harambee ya kufa na kupona na kampeni za nyumba kwa nyumba na kitanda kwa kitanda ni lazima nigharimie kwa hali na mali.Kufa na kupona na M4C ni miradi miwili tofauti.
Hapo hakuna wali, posho wala usafiri wowote uliotolewa kuwahadaa watu wahudhurie. Magamba pressure inapanda, pressure inashuka, pressure inapanda, pressure inashuka.
Baadhi ya hizi picha ni za wakati wa kampeni mwaka 2010
Kufa na kupona na M4C ni miradi miwili tofauti.