Hongera kwa Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu)

Hongera kwa Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu)

Barabara zinajengwa na sugu ?

Hata kama hazijengwi na Sugu, lakini cha muhimu anafuatilia kwa makini kila mradi wa barabara uliotengewa kasma ya ujenzi na bunge, pesa hizo, zinatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa. Siyo kama enzi hizo za mbunge wa magamba, ambaye alikuwa akizifisadi na mafisadi wenzake wa nyinyiem!!
 
Hee kumbe wahanga wa mafufiko? sasa cha ajabu nini? mi nlifikiri hicho chakula anaenda kugawa kijiweni kwa watu waliokaa tu bila kazi! inaonyesha ulivyo na upeo mdogo wa kufikiri na roho mbaya pia, kwa hiyo ulitaka watu waliopatwa na dhahama hiyo wasipewe chakula?

Nyinyi vijana wa muziki wa kufokafoka wakati mwingine huwa na matatizo sana!
Kwahiyo wakazi wa Mbeya ni watu wa vijiweni tu na wahanga wa mafuriko siyo wakazi wa Mbeya?
 
Nyinyi vijana wa muziki wa kufokafoka wakati mwingine huwa na matatizo sana!
Kwahiyo wakazi wa Mbeya ni watu wa vijiweni tu na wahanga wa mafuriko siyo wakazi wa Mbeya?
mbona mgumu kuelewa mkuu? nani aliyesema wahanga sio wakazi wa mbeya?
 
Sasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha Form 4 basi. Kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli. Kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili.

mkuu cheti hakiliwi.Wangapi wana vyeti safi lakini wanateseka na maisha haya.Nipe mifano ya watu walio soma sana pia ni matajiri.Shule na maisha sawa na mbingu na ardhi.
 
Sasa kuwa na kiongozi dr ambaye hafanyi lolote bungeni kuna manufaa gani?

sawa kabisa hatuhitaji ma Dr hapa Tanzania.Maana mimi sijaona wafanyacho.Tena napendekeza vyuo vya kijinga afadhali wanikodishie majengo mimi nifugie kuku wa nyama na mayai,kuliko kukusanya watu wazima kwa miaka mitatu halafu hakuna wafanyacho wamalizapo vyuo hivyo.BORA KUFUGIA KUKU MAJENGO YA VYUO.
 
mkuu cheti hakiliwi.Wangapi wana vyeti safi lakini wanateseka na maisha haya.Nipe mifano ya watu walio soma sana pia ni matajiri.Shule na maisha sawa na mbingu na ardhi.

Wapi nimesema cheti kinaliwa?
Wapi nimesema kila aliye na cheti ni tajiri?
Mbona unaongelea vitu ambavyo hata sijavigusa?
 
Nyinyi mko very interesting!!! Umeme ukikatika mnamlaumu Kikwete, barabara zikijengwa mnampongeza Sugu...

Au ukiuliza kwa nini maji yanapatikana kwa shida jimbo la Ubungo, majibu yao huwa kwani Mnyika ndo anakusanya kodi au kwani kazi ya mbunge ni kuleta maji...
 
Si ndio maana mpesya kamfukuza diwani wa cdm kule kahama asile chakula wakati wa mziara ya waziri mkuu!!!!!!!!!!!!!!ccm ni ufisadi ufisadi tu!!!!!!!!!!!!
 
ndugu yangu namfahamu sugu kitambo,aliyokua akiimba kwenye muziki sasa anayasimamia kwa vitendo,kaka hili ni jembe kama kuwepo wabunge wamwpita wengi hata mbunge wa upinzani alikuwepo NCCR mageuzi lakini walikua na vichwa bila busara na hawakusimamia misimamo yao-Mbeya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Duuuuu! Mkuu naona kama moja ya picha ni mitaa ya kwenda TEKU kupitia pale NEBANA PUB au nimekosea mkuu!
 
Back
Top Bottom