Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Baada ya Mwenyekiti kutangaza nia ya kujivua GAMBA, tuliambiwa Wenye tuhuma za UFISADI wajipime wenyewe. Walipogoma kujivua GAMBA, tukaambiwa wamepewa barua za kubwaga manyanga.
Baada ya hizo barua kuliwa na panya, Jengo moja likadondoka, Mapacha wawili wakaweka ukuta, tukaelezwa tutawaengua katika nafasi za juu za chama (NEC)
Vipi mbona majina yao yamepitishwa? au Nape na Mkuu mnakula matapishi yenu?
Baada ya hizo barua kuliwa na panya, Jengo moja likadondoka, Mapacha wawili wakaweka ukuta, tukaelezwa tutawaengua katika nafasi za juu za chama (NEC)
Vipi mbona majina yao yamepitishwa? au Nape na Mkuu mnakula matapishi yenu?