Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Siyo kazi ya Chadema kujenga chochote maana hiyo ni kazi ya serikali iliyoko madarakani. Uongozi wa chadema mwanza ni wa kisiasa tu ila maendeleo yanaletwa na serikali iliyoko madarakani. Magamba wanavuruga halmashauri za chadema wakidhani kuwa watapata kura 2015 kumbe ndo wanapoteza zaidi. Nenda kamuulize mtoto wa mkulima kilichomtokea MZ kama anahamu hata ya kurudi kule kuomba kura 2015. Hata kama wananchi watakosa maendeleo kwa ukandamizaji wa kimagamba kisa halimashauri zile zinaongozwa na chadema bado hawawezi kurudisha ccm tena! Nenda Arusha, Moshi,mbeya kama na kote ambako watu walisha ng'oa ccm kaulize kama wa na juta kwa uamuzi huo? ni bora kukaa bila maendeleo kuliko kuongozwa na ccm!
Kazi ya Chadema ni nini ufisadi na madiwani kuuziana viwanja na kutafuna ruzuku? ebu jiulize kwa nini Meya wa Chadema alivuliwa cheo chake.