Heshima kwako Pascal
Ni kweli mleta mada amekosea kwa kutumia neno kukaimu Uraisi
Pamoja na hilo, ameleta hoja nzuri na fikirishi ( atleast kwa tusio na uelewa wa kutosha wa Katiba, japo najua kuna wengine ni wasomi wa sheria na hawana jibu la uhakika kwenye hili swali)
Mleta mada katoa mifano...
Huwa hamna makubaliano ya silaha zipi zitumike unless ni vita ya kuzugia ikiwa na agenda nyuma yake (mfano kutengeneza mgogoro/vita ili kupata nafasi ya kufanya biashara au deals za magendo).
Jumuiya za kimataifa zinaweza kuhakikisha hamna matumizi ya biological weapons au nyuklia but ni ngumu...
Without prior notice? You need to go through the following statutes again
The Land Act Cap 113 (R.E 2002)
The Village Land Cap 114 (R.E 2002)
Land Acquisition cap 118 (RE 2002)
You have a fair understanding of acquisition (and land) laws but the issue you talked about hapo juu needs better...
Endeleeni kuhama hama sisi tupo Airtel miaka nenda rudi na ma bundle ni sexy vilevile
Yaani kama umeoa mke miaka 8 afu kila siku unamuona mbichi mpyaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Deal ya sancho ndo basi tena kwani tulikua na agreement yoyote ya kumnunua Sancho au tunamtaka tu kama clubs nyingine zaidi ya 8?
Sent using Jamii Forums mobile app
johnthebaptist,
Mama Mghwira spoke her mind juzi jumapili, aliongea sincerely na kwa hisia sana, na waziwazi akaonesha haridhiki na aina hizo za ibada (kukanhaga mafuta n.k.) tafuteni interview yake ya jumapili kwa millard ayo.
Jana kwenye ibada kaongea kitu tofauti kabisa na kaja na story...
Nimewahi jiuliza sana hilo swali, nilifikia conclusiob kuwa ni kutokana na Mrengo wa nchi among other things, Nchi za kisocialist na communist kunakua hakuna uhuru binafsi wa watu wanaofanya kazi kwenye idara za usalama, na hakuna separation kati ya maisha binafsi na ya kazi, while Marekani na...
Vijana wenye option ya kurudi nyumbani baada ya chuo huwa mna changamoto sana, chuma kikipata moto tu unarudisha mpira kwa kipa, kwa wenye mazingira ya “you are on your own” soon baada ya kuanza au kumaliza chuo huwa hawapati shida hapa, maana kwao there is no turning back
Back to your questions...
Mgodi wa Bulyanhulu unajua una mineral reserve kiasi gani? Migodi ya wachimbaji wadogo je? Na kahama kuwa Junction/ highway ya Kigoma, kagera, Rwanda, Burundi na Uganda je?
Umejibu kipambe na kishabiki hujafanya comparison umejibu ka mshabiki/ mkazi wa njombe
Usinunue deep frier ya dukani ka una mipango ya muda mrefu kwenye hii biashara, Kachonge deep frier kubwa na zenye uimara na uwezo zaidi kwa wale wachonga majiko wa keko gerezani karibu na workshop ya Bakhresa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.