Rwanda Vs Uganda nani atashinda Vita?

Umeona, sema kipindi kile na sasa kuna utofauti kidogo. Idd Amin katika ile vita alikuwa kapiga mpaka maeneo ya Bukoba. Pale Kyaka bado kuna gofu la kanisa lilopigwa na wajomba wa UG.Ila kuna jambo ambalo nasikia katika vita inayohusisha taifa na taifa kwamba kabla ya vita kuna mikataba inasainiwa na moja ya mambo mnayokubaliana ni silaha ambazo zitatumika ila kama hili sio kweli basi Rwanda na udogo wao Mganda akizubaa anaweza pigwa kitu kizito
Kwa hiyo afande maadui wanasainishana mikataba wasiumizane sana.
 
Rwanda anashinda mapema tu, niliona kwenye ule mgogoro wa mwanzo viwanajeshi vya Rwanda vilikuwa vinawadindia wanajeshi wa uganda na wanatepeta

Uganda hakuna kitu, labda kula Bata tu ila kwa vita hawawezi
 
Kwa hiyo afande maadui wanasainishana mikataba wasiumizane sana.
Hapana haiko hivo ila kuna makubaliano yalishafanyika huko nyuma nadhani kama mkipigana na ikatokea mambo yamefanyika kinyume na taratibu kuna uwezekano wa taifa moja kuadhibiwa nadhani moja ya vitu hivyo ni pamoja na kutowashambulia raia wasio na silaha na mengine nadhani na jambo la silaha za kivita lipo
 
Jua hivi Kampala ilikamatwa na 1st, 7th, 11th, 13th, 19th, and 35th battalions ambazo hizo zote zilikua chini ya wanyarwanda, Sasa hapo sijui location ya Kampala itakua imebadilika?BTW Kampala ilikamatwa na hao wkt M7 akiwa zake Sweden ilikokua familia yake.

Wanyarwanda kwny jeshi la Uganda wameondoka officially 1995,baada ya hapo Hali ikawa tete huko Entebbe, Jinja na Kampala ikabidi M7 awaombe wanajeshi wa Rwanda(RPA) warudi kumsaidia kutuliza Hali,ikabidi vikosi vitumwe chini ya Maj. Alex Kagame(usimchanganye na Paul Kagame) akiwa na kikosi cha artillery na anti-aircraft wakapigana na kuikamata Entebbe airport,eneo lenye rada la Nsamizi,Owen Falls Dam, Kule Lugazi kwny Viwanda vya sukari etc wakashikilia hayo maeneo kwa miezi 12 Hali ilipotulia wakayakabidhi kwa serikali ya Uganda.

Hata kikosi Cha ulinzi Cha M7 kulikua chini ya wanyarwanda wakina Captain Charles Muhire(OPTO) and Captain Charles Ngoga, the PPU Commander (OC).

Kifupi tu,nimetaka nikuonyeshe RDF Wanaijua Uganda nje ndani.
Aiseee hizo taarifa nyingi sana umewapa zinatosha! Na kongine wa idadi ya wanyarwanda wanaotambuliwa na katiba ya Uganda anaijua? Hizo Million zilizoko uganda tu zinatosha kimaliza kazi huko.
Wa ku deal nao ni m7 na kabila lake sio kabila la waganda.
 
Watu wanaongea sana.... they dont know the science, theory wala history of war.

Rwanda ana disantavage mbili kubwa sana

1. Size of the country

Kutoka border mpaka Kigali ni umbali mdogo sana kama 70km, in case of war, Uganda inaweza ikakaza na kuumia lakini ndani ya siku kadhaa wako Kigali. Watu wanafananisha Rwanda na Israel, wanasahau Israel ni kama jimbo la US, wana the best air defence systems dunia + on the best airforce.

2. Geoposition yake.

Rwanda ni LandLocked country.... upande wa DRC basically hakuna njia kutokana na umbali + uadui na DRC. Upande wa mashariki kuna TZ, Uganda ina-play karata zake, anapigwa pini. Kusini ana ugomvi na Burundi.

Rwanda imeweza sana media manipulation mpaka wanaonekana eti ni invincible, mpaka watu wanaamini Rwanda can defeat TZ; kumbe ni mayai tu
Sawa boss! Kweli Rwanda ni ndogo by size,na wao hilo wanalijua ndio maana ni wadogo kama nchi ila wa kubwa ki intelijensia na hilo liko wazi,kumbuka kumshinda adui wako ni kuwa na taarifa. Na kiingine katiba ya Rwanda inalipa jeshi ruhusa kumfata hadui aliko kabla haja attack Rwanda . In short intelijensia ndio kila kitu! Na nchi ikiwa corrupt sana kwenye mambo ya rushwa anytime inakua iko hatarini kwenye vita.
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
Battle za nn
 
Sawa boss! Kweli Rwanda ni ndogo by size,na wao hilo wanalijua ndio maana ni wadogo kama nchi ila wa kubwa ki intelijensia na hilo liko wazi,kumbuka kumshinda adui wako ni kuwa na taarifa. Na kiingine katiba ya Rwanda inalipa jeshi ruhusa kumfata hadui aliko kabla haja attack Rwanda . In short intelijensia ndio kila kitu! Na nchi ikiwa corrupt sana kwenye mambo ya rushwa anytime inakua iko hatarini kwenye vita.
Intelligence inakwambia nini kinaweza kutokea, lakini uwezo wa kukidhibiti hilo ni jambo lingine. Hakuna vita isiyo na dalili, issue ni je utaweza kupambana. Ukweli ni kwamba Rwanda is overrated. Na wanaoifananisha na Israel ni tatizo tu la uelewa. Rwanda inaionea DRC kwa sababu is a poorly managed giant, lakini sio Uganda; wana moja kati ya majeshi bora na yenye uzoefu mkubwa hapa East Africa.
 
Jamaa anachukulia jeshi kama kiwanja hakibadiliki. Six Days war ilitokea 1967 Israel akashinda within a week akipigana na Waarabu nchi nne, nyingine zilisaidia indirectly.
Mwaka 1972 Egypt na Syria pekee zikaanzisha vita tena. Hiyo vita ilikuwa tofauti kabisa kabisa ya 1967 wakati Israel inajua kila kitu kuhusu maadui zake. Tofauti ya miaka mitano ilileta mabadiliko makubwa.

Au kama vipi aangalie tofauti kati ya WW1 na WW2 ambazo zilipishana miaka 21. Tofauti kubwa mno hata allies wenyewe walibadilika. Ukitoka WW2 1945 njoo Cold War inaanza rasmi 1961 pale watu washabadilika kabisa. Miaka 30 kijeshi ni mingi kubaki na intelijensia ileile
Upo sahihi mkuu, hata USA ilitawaliwa na UK huwezi kuja kusema leo hii eti UK ataipiga USA kisa aliitawala huko ni kuongea kiushabiki..

Hata CIA wenyewe kuna muda flani huwa unafika wana declassify documents za siri walizozitunza kwa muda flani sikumbuki zaidi ni kila baada ya muda gani lakini huwa Wana huo utaratibu..

Jamaa anachozungumzia ni taarifa za kiintelejensia za Rwanda kuhusu UG lakini taarifa kwa muda wote huo ni useless, rejea Vita ya Israel na Hezbollah, Israel walichunguza ni wapi Hezbollah wanaweka roketi zao kwa miaka 6 lakini at the end walipokwenda kupiga kulikuwa hakuna kitu...

Nafikiri intelejensia za kivita zinakuwa na umuhimu wakati fulani na zinaweza kuwa useless pale hata adui tu akifahamu unajua Siri zake...

Kusema kwamba leo hii Japan ataipiga China kisa wanaijua nje ndani... Hio haipo

👊👊👊
 
Upo sahihi mkuu, hata USA ilitawaliwa na UK huwezi kuja kusema leo hii eti UK ataipiga USA kisa aliitawala huko ni kuongea kiushabiki..

Hata CIA wenyewe kuna muda flani huwa unafika wana declassify documents za siri walizozitunza kwa muda flani sikumbuki zaidi ni kila baada ya muda gani lakini huwa Wana huo utaratibu..

Jamaa anachozungumzia ni taarifa za kiintelejensia za Rwanda kuhusu UG lakini taarifa kwa muda wote huo ni useless, rejea Vita ya Israel na Hezbollah, Israel walichunguza ni wapi Hezbollah wanaweka roketi zao kwa miaka 6 lakini at the end walipokwenda kupiga kulikuwa hakuna kitu...

Nafikiri intelejensia za kivita zinakuwa na umuhimu wakati fulani na zinaweza kuwa useless pale hata adui tu akifahamu unajua Siri zake...

Kusema kwamba leo hii Japan ataipiga China kisa wanaijua nje ndani... Hio haipo

👊👊👊
😁😁😁 Inaonekana hata kwny kisangani war Uganda itakua ilishinda kwa kishindo Sana 😄😄😄
 
Upo sahihi mkuu, hata USA ilitawaliwa na UK huwezi kuja kusema leo hii eti UK ataipiga USA kisa aliitawala huko ni kuongea kiushabiki..

Hata CIA wenyewe kuna muda flani huwa unafika wana declassify documents za siri walizozitunza kwa muda flani sikumbuki zaidi ni kila baada ya muda gani lakini huwa Wana huo utaratibu..

Jamaa anachozungumzia ni taarifa za kiintelejensia za Rwanda kuhusu UG lakini taarifa kwa muda wote huo ni useless, rejea Vita ya Israel na Hezbollah, Israel walichunguza ni wapi Hezbollah wanaweka roketi zao kwa miaka 6 lakini at the end walipokwenda kupiga kulikuwa hakuna kitu...

Nafikiri intelejensia za kivita zinakuwa na umuhimu wakati fulani na zinaweza kuwa useless pale hata adui tu akifahamu unajua Siri zake...

Kusema kwamba leo hii Japan ataipiga China kisa wanaijua nje ndani... Hio haipo

Kwenye intelijensia kuna false feeding pia. Kama KGB miaka ya 1950s waligundua mashirika ya intelijensia ya Ulaya yametap waya wake wa Telegraph unaopita Ujerumani Mashariki, wakaanza kupitisha taarifa feki tu na za kiraia, zile muhimu wanazipitisha means nyingine. Mpaka wanaamua kusema tena Rais wa Marekani anafanya meeting na Soviet Premier walikuwa washawalisha pumba nyingi.

Hao Hezbollah wenyewe walijua Israel inavyojua wanaficha wapi silaha wakaziamisha kwa siri. Mgogoro ulipoanza Israel ilijiamini kama hata vita ikianza si tunajua maroketi yako wapi. Wakafanya mashambulizi maeneo yale ila haikusaidia, hii ilichangia Israel kuingiza wanajeshi nchini Lebanon

Kwenye WW2 Japan ndio nchi ilikuwa inaongoza kupuuza taarifa za intelijensia. Ingekuwa inazizingatia ingesumbua mno
 
😄😄 Jiongeze mkuu,Ni kwa kina Pierre ndio tunapaongelea.
Tumu'zomeyeee!
157611.jpg
😅
1f605.png
 
Umeona, sema kipindi kile na sasa kuna utofauti kidogo. Idd Amin katika ile vita alikuwa kapiga mpaka maeneo ya Bukoba. Pale Kyaka bado kuna gofu la kanisa lilopigwa na wajomba wa UG.Ila kuna jambo ambalo nasikia katika vita inayohusisha taifa na taifa kwamba kabla ya vita kuna mikataba inasainiwa na moja ya mambo mnayokubaliana ni silaha ambazo zitatumika ila kama hili sio kweli basi Rwanda na udogo wao Mganda akizubaa anaweza pigwa kitu kizito

Huwa hamna makubaliano ya silaha zipi zitumike unless ni vita ya kuzugia ikiwa na agenda nyuma yake (mfano kutengeneza mgogoro/vita ili kupata nafasi ya kufanya biashara au deals za magendo).
Jumuiya za kimataifa zinaweza kuhakikisha hamna matumizi ya biological weapons au nyuklia but ni ngumu sana kumpangia mtu silaha ya kutumia maana unakuta ndo advantage aliyokua nayo
 
Jeshi la Rwanda linasifika kwa Intelijensia imara na viongozi wenye elimu kubwa ya kijeshi lakini kwa kweli matokeo ya vita vya sasa hv huchangiwa na vitu vingi haswa Ubora wa zana ,nguvu na idadi ya washirika(allies) wa kila mmoja
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
kwani hao milioni 12 wote ni wanajeshi?...kwa tz hata kagame na nchi zote za eac, maziwa makuu na sadc, wanajua tz si ya kispot. imekaa kimya tu lakini muziki wake si wa kuchezea.....
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
Mkuu Uganda ina nguvu kubwa za kijeshi kuliko Rwanda,Museveni ni mjanja kuliko Kagame,Uganda kwa sasa ina vifaa Bora kabisa vya kijeshi kuliko hata Tanzania
 
Jua hivi Kampala ilikamatwa na 1st, 7th, 11th, 13th, 19th, and 35th battalions ambazo hizo zote zilikua chini ya wanyarwanda, Sasa hapo sijui location ya Kampala itakua imebadilika?BTW Kampala ilikamatwa na hao wkt M7 akiwa zake Sweden ilikokua familia yake.

Wanyarwanda kwny jeshi la Uganda wameondoka officially 1995,baada ya hapo Hali ikawa tete huko Entebbe, Jinja na Kampala ikabidi M7 awaombe wanajeshi wa Rwanda(RPA) warudi kumsaidia kutuliza Hali,ikabidi vikosi vitumwe chini ya Maj. Alex Kagame(usimchanganye na Paul Kagame) akiwa na kikosi cha artillery na anti-aircraft wakapigana na kuikamata Entebbe airport,eneo lenye rada la Nsamizi,Owen Falls Dam, Kule Lugazi kwny Viwanda vya sukari etc wakashikilia hayo maeneo kwa miezi 12 Hali ilipotulia wakayakabidhi kwa serikali ya Uganda.

Hata kikosi Cha ulinzi Cha M7 kulikua chini ya wanyarwanda wakina Captain Charles Muhire(OPTO) and Captain Charles Ngoga, the PPU Commander (OC).

Kifupi tu,nimetaka nikuonyeshe RDF Wanaijua Uganda nje ndani.
Point yako mimi sijaiona kwakua rwanda alimsaidia m7 ktk hustle zake za muimomboa uganda lakini kumbuka pia m7 alimsaidia sana kagame kumuondoa havyarimana hivyo tuseme wote wanajuana battle lao mshindi atatokana na ninani mwenye washirika wengi ambaye kwa haraka haraka hata tukichukua majirani wanaozizunguka nchi hizo Uganda ana marafiki na uungwaji mkono wa nchi nyingi mf . DRC. TZ . Burund. n.k hao hawawezi msaidia kagame

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom