Lokissa,nikweli kabisa TTCL kwasasa kuna matatizo ya mtandao,mimi ni mteja wao natumia kwenye Internet cafe,connection iko mbovu kabisa na wala sihapa hapa kwangu ndio kuna tatizo,bali liko TTCL na ukipiga simu wanakwambia zima modem washa baada ya dakika 5,lakini bado tatizo lipo pale...
Bus la kampuni ya Dar Express lilokuwa likitoka Dar kwenda Rombo,liliwaka moto maeneo ya Kabuku,kwa taharifa ni mtu mmoja ndio aliye jeruhiwa na kukimbizwa hospital,ambaye ni fundi wa basi hilo,abiria wanadai kuwa basi lilikuwa mkweche kiasi kwamba wakiwa njiani vehicle inspecta alilikangua na...
Sio mwanamke aliezaa na DK Slaa bali ni mke wake,ukisema hivyo anaoneka kama kimada,wakati ni wife na alimtangaza rasmi kwenye kampeni za urais pale jangwani......yaani alikuwa awe first lady wa TZ
Tatizo lenu nyiwe wakenya,mnapenda sana kuendekeza ukoloni yaani kwenu mzungu ni kama mungu mtu,nilishawahi kufanya kazi na mkenya kwenye kampuni ya mzungu,yaani allikuwa anajipendekeza yuko radhi alambe ata makalio ya mzungu....ata yule mzungu aliye ua watu wawili kenya alifungwa miezi tisa...
Namuona Raila kama ni msaliti,kina Ruto walipigana kufa na kupona wakati wa uchanguzi ili yeye awe rais,leo hii kawageuka anataka wapelekwe The Hague....hivi huyu Raila ana shukrani kweli,ata kama kina Ruto walichochea vurugu,lakini ilikuwa kawa ODM ishinde na Raila awe rais.....kwa style hii...
Kalidanganya bunge kivipi wakati waziri mkuu amekubali,kuwa wamechemka na angekuwa na mamlaka angefukuza kazi kwahiyo kamripoti kwa rais ili atimuliwe.....huo mchezo wa kuonga ili budget ipite uko sana,ila kwa wizara hii lime bumburuka.......!
Nikiwa kama mteja wa mtandao wa TIGO nakereka sana na ujumbe wa kibiashara unaotumwa mara kwa mara.....Mkurugenzi wa TIGO kama una jali na kudhamini uhuru wa wateja wako tafadhali acha kabisa kuwasubua na hizo msg zako zinazo ingia ata mara 7 mpaka 8 kwa siku.....nakupa siku 2 tu la sivyo...
Huyu Serukamba ni mropokaji tu,ni mtu ambaye anajua kujipendekeza sana,na anapenda watu wenye uwezo,ndio maana ana babaikia mafisadi....,lakina hana point katika hili,wa kupuunzwa tu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.