Wateja wa tigo tigo yaani mtandao wa tigo

MOSOLIN

Member
Feb 6, 2009
17
4
Nikiwa kama mteja wa mtandao wa TIGO nakereka sana na ujumbe wa kibiashara unaotumwa mara kwa mara.....Mkurugenzi wa TIGO kama una jali na kudhamini uhuru wa wateja wako tafadhali acha kabisa kuwasubua na hizo msg zako zinazo ingia ata mara 7 mpaka 8 kwa siku.....nakupa siku 2 tu la sivyo nitahama kabisa TIGO na litakuwa pigo kubwa sana kwa kibiashara kwani nita hamasisha UMA nao ufanye hivyo....Bila Shaka umenipata....
 
Nikiwa kama mteja wa mtandao wa TIGO nakereka sana na ujumbe wa kibiashara unaotumwa mara kwa mara.....Mkurugenzi wa TIGO kama una jali na kudhamini uhuru wa wateja wako tafadhali acha kabisa kuwasubua na hizo msg zako zinazo ingia ata mara 7 mpaka 8 kwa siku.....nakupa siku 2 tu la sivyo nitahama kabisa TIGO na litakuwa pigo kubwa sana kwa kibiashara kwani nita hamasisha UMA nao ufanye hivyo....Bila Shaka umenipata....

kwanza tIGO ni wezi.

wanakata pesa mingi kiasi huwezi gundua hata kama unapiga tIGO kwa tIGO.

kama Zain ingekuwa haijakaa kifisadi-fisadi kama Voda na kama Zantel ingekuwa haina harufu ya Oman-Oman ningeihama tIGO
 
Kwakweli wadau hapo mmenena. Tigo garama zao zipo juu sana sasahivi kama Voda. Airtel ndio wapo chini kuliko Tigo na Voda. Hata mimi ninampango wa Kuihama, au kutoitumia kabisa.
 
tiGO kwa sasa wanaiba!gharama zao juu sana!airtel bomba na walau govt yetu ina hisa
 
tigo wanaboa sana co cr, yan naamini inawezekana tigo ndo mtandao wa gharama kubwa kwa sasa, mameseji yao yanakera sana, tigo acheni kabisa tabia hii chafu, la sivyo kweli tutahama muda c mrefu
 
Jamani hawa tiGO mi nadhani wamefika pabaya kabsaaa! Mfano ukipiga huduma kwa wateja unatozwa Tsh 50 hata kabla ya kuongea na mhudumu. Maranyingi huwa netwerk inasumbua na inakulazimu kupiga tena na tena bila mafanikio ya kuongea na mhudumu wao huku ukitozwa pesa kila unavyojaribu bila mafanikio. Huo ni wizi dhahiri!! Acheni haraka nyie.
 
Tigo naona wameanza kulewa mafanikio. Mimwenyewe nimeanza kutafuta alternative. Kwa kuanzia nimefufua Voda yangu na nimechukua airtel juzi tu. Jasho langu la chuma tigo tgo badirika.
 
Hamia zantel. Wao sasa ni robo sh Zant-Zant na sh 1.99 kwena mitandao mingine. Itakusaidia kuachana na kubeba simu 2 pia kuwa na simu za kichina za laini 2 na mikelele mingi.
 
Hamia zantel. Wao sasa ni robo sh Zant-Zant na sh 1.99 kwena mitandao mingine. Itakusaidia kuachana na kubeba simu 2 pia kuwa na simu za kichina za laini 2 na mikelele mingi.

halafu juzi nimeshangaa kwenye simu yangu ya tigo imeingi msg inayosifia huduma za zantel.
Hawa watu wameamua kushirikiana kwenye matangazo au ni nini?
 
halafu juzi nimeshangaa kwenye simu yangu ya tigo imeingi msg inayosifia huduma za zantel.
Hawa watu wameamua kushirikiana kwenye matangazo au ni nini?

Hapa Bongo bwana kila kitu ovyo ovyo hata mimi juzi imeingia msg ya zantel kwenye laini yangu ya Airtel sio siri haya makampuni ya simu hasa Tigo na Zantel ni washenzi sana maana wanatuma msg za kujitangaza kibiashara bila makubaliano na mteja. Na TCRA yamelala tu Ofisini.
 
kweli kinachofanyika tgo ni wizi mtupu,hasa toka walipoanzisha hii huduma yao ya kuokopa hali imekua mbaya zaidi,gharama zao zimekua juu zaidi..e.g jana nilikopa leo asubuhi nikawalipa huku salio langu nililokopa likiwa bado lipo la kuotosha nikajiunga na sms 100 zao kwa shs 395/= kwa vocha niliyoingiza asubuhi,cha kushangza kila nikituma sms wanakata salio langu nililokopa hukua tayari washakata 395/= kwa kweli tgo mnaboa nw days..u sholud take care unless otherwise.....we should find another altenative kwani ukweli tunaujua sasa na hiyo nusu sh. yenu ya uongo!!
 
Mimi niliacha kitambo kutumia huo mtandao ila kuna tangazolao nalisikia kuwa ukiweka line yako ya zamani salio lako litaongezeka mara nne.
Kutokana na comments za hapo juu nahisi hata hiyo nayo itakuwa wizi mtupu.
Nimecheka sana niliposoma hiyo heading, yaani mtoa mada amesisitiza kuwa 'Tigo mtandao wa tIGO'
 
hakika ukifatilia kwa umakini utakuta Zantel ni mtandao bomba sana,kwa gharama za ndani ya nchi hadi nje.
 
Yaani mtoa mada umenigusa na kunikumbusha machungu ya tigo.

Mwaka jana niliporudi likizo nikachukua line yangu ya tigo nikaweka kweli ikawa bado inafanya kazi.

Nikapiga simu salio likaisha nikapata msg kopa sijui sh 50 nikakopa jamani adha niliyopata sina hamu msg kibao unadaiwa unadaiwa unadaiwa.

Hee nikaona sio shida nikawa nimeweka pesa jamani haaa kweli kukopa na kulipa ndo mtindo wa kisasa ila hata salio halijatua lishakatwa na msg kibao jamani msg za tigo ziliniboa na kunikasirisha kabisa nikachukia tigo kabisa.

Wamekuwa wezi sana siku hizi siwapendi kabisa
 
Tigo tabia yao mbaya hata kama ikitokea ukam recharge mtu lakini ikawa bahati mbaya ukakosea namba ikaenda kwingine ukiwapigia au hata kwenda kwenye ofisi zao kuomba ile hela irudi wanakwambia "wewe ongea naye tu mmbeleze akurudishie" lakini voda hapo hapo wanachukua hatua ya kuzuia hiyo pesa. Kweli hawa wahindi wa Tigo wanaboa sana. hata ukienda kwenye maduka yao huduma zao na lugha ni tofauti kabisa na mitandao mingine. Mfano hapo barabara ya Ohio wana lugha mbaya sana.

Kweli wasipojirekebisha wataishia kubadili majina kila siku
 
Hapo umeongopa mimi ni mteja tu kama wewe wa Tigo sina maslai wala si mfanyakazi ila tigo wako chini ukilinganisha na hiyo mitandao mingine hasa Voda na Airtel, siju kuhusu Zanteli kwakuwa sijatumia...Ila kinachonikera Zaidi ni hawa Airtel...nawaandalia thread yao muda si mrefu
 
sina hamu nao walikuwa kila siku wananiibia Tsh 500/= kisa niliwahi kutumia msg service yao ya msg. Tena siku hizi wamenziasha mtindo wa kutuibia kwa kutoa msg zao yamkini hujapata maunganisho ya unayempigia.
 
Back
Top Bottom