Kama TAKUKURU wako serious, waongeze wigo wa uchunguzi, wapitie akaunti zote za Idara za serikali zilizoko hapo Dodoma yaani hiyo Geological Survey (Madini), Msalato na Bihawana Secondary (Elimu), Isanga Prisons (Mambo ya Ndani), Mirembe Nursing School (Afya), Makutupora JKT (Ulinzi) nk; hizi zote inawezekana ziunatumiwa kupitisha mafungu ili zitumike kuhonga wabunge. Na hasa wachunguze zile transfer kubwa kubwa za funds katika kipindi cha March hadi August. Naamini kwa kuwa wao ni wataalamu, basi watajua technic nzuri zaidi ya mapendekezo yangu. Lakini nikikumbuka uchakachuaji wa uchunguzi wa awali wa Richmond, basi na-reserve my comments kama hawa TAKUKURU wanaweza chukua maamuzi magumu!!!