Mtawala Dhalimu hawezi pokea Ukweli hii ipo hata katika Kitabu kitakatifu kuna mifano Farao,Herode,Nero n.k,hao ni baadhi ya Watawala katika Historia ya Binadamu walijaribu kuuzuia ukweli lakini ukweli hutafuta Mahali pa kutokea.
Mkuu Mgusi kuna kitu unachanganya Alisema Watu wakifunga iwe Siri ni MUNGU wa Biblia ila mungu Allah yeye haitaji siri anaitaji watu wafuate matakwa yake Watake wasitake ndio maana hata Katika Historia Wengi waliuawa kwa kwa Kuto ukubali Uislam.
Sista uko Sahihi na hii haiishi hapo tu,inakwenda mbali zaidi hata kwenye Mambo ya Msingi katika Maisha,linapo kuja Suala la Haki za Wanawake,Mwanamke Hudhani Mwanaume ni Adui kwake bila kutambua kuwa Adui wa Mwanake ni Mwanam...ke
Kaka kwa uelewa kama Wako sidhani kama ulikulia hapa Tz:maana sisi Tulio zaliwa na Kukulia hapa hapa kwetu Ujinga sio Ukosefu wa Maarifa bali ni IMANI(ni zaidi ya Kukoaefu wa Taarifa na Maarifa juu ya Jambo Fulani)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.