Sio kweli, zipo jamii za kiafrika ambazo, Mwanaume hawezi kupiga goti kwa Mwanamke,tusiishi kwa kukariri tamaduni za kizungu ambao hata wao,sio wote wqnaopiga goti, kuna jamii ya waturuki hawafanyi Hayo mambo!
Ndugu yangu! Usilo lijua ni Sawa na usiku kiza! TPDF si dhaifa kama unavyodhani, lipo more advance,kuna mengi yamefanyika na yanaendelea kufanyika kimyakimya, kama bado unamtazamo wa jeshi lileee lililopigana vita ya Kagera! Basi unakosea Sanaa,kuna Idadi kubwa ya vijana wenye uwezo wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.