yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 2,004
- 10,388
Sio kwa kizazi hiki mtoto akijua tu mama/baba anamiti, inakatwa mmoja baada ya mwingine ili anunue iPhone 30 yamwaka huo chuoni!!!Chukulia chekechea wewe unampandia miti anakuwa nayo, akifikisha muda wa kwenda chuo huna hata sababu ya kwenda Heslb kuomba mkopo
Wapo wa zee wali invest kujenga majumba mjini kati, kwa maisha ya watoto wao vijana wameuzauza yoote na shule Hamna kitu wanakula bata tu mpaka umasikini umewarudia
Mfumo wetu wamaisha na elimu yetu ni ovyoooo sana, unaitaji kuangaliwa upya