kipigo walichopigwa saudia kwenye mitambo yao ya mafuta inadhihirisha kabisa kuwa mitambo ya US ni hovyo mno,
maana asilimia mia moja ya mashambulizi yalifika na kufanya uharibifu. vidrone vidogo tu pia viliweza kupenya na kufanya yake bila usumbufu wowote, ni ajabu sana hakuna mfumo wowote...
kiukweli mashambulizi ya irani yalikuwa makubwa hapakuwa na madhara ya kifo ila uharibifu ni mkubwa.
iran waliwajulisha Iraq makusudi kwa sababu lengo lao halikuwa kuwaua wanajeshi wa marekani na Iraq kwa sababu hali ya kimahusiano ingeharibika,kwa hiyo wanajeshi wa marekani either walihama kwa...
kwa kweli hizi S series za Russia ni level nyingine kabisa, fikiria kama s 125 na vi antimissile vya zamani vya kisovieti wanajeshi wa Syria waliweza kutungua missile za kutosha zilizorushwa na us na washirika wake vipi kama Syria wangekuwa na s300 na 400 wakati ule? S400 na s300 zinaoperate...
inasemekana hizi bases hazikuwa na ant missile system,wanasema hizi system wameweka sehemu nyeti zaidi kama power stations na base nyingine za kimkakati, ilikuwa hivi kwa sababu hadi hivi karibuni risk Iraq ilikuwa ndogo mpaka hapa karibuni hali ilivyoharibika, hii inawezekana kweli mimi binafsi...
Unahitaji kujua kiundani, CPA Ina stages Kama ilivyo ACCA, ili uanzie intermidiate lazima uwe Ina degree ya uhasibu au sifa linganifu, pitia website ya NBAA utaona, vinginevyo utageuka kituko hapa kwa kutoa hitimisho kwa kitu usichokijua
nenda makao makuu strait kwa chief operating oficer peleka madai yako moja kwa moja branch manager hawez saidia maana anajilinda yeye na mtu wake,hili si kosa la mteja hata kidogo wala hatakiwi kuwa sehemu ya kusubiria hiyo kampuni ya simu irudishe bali alipaswa awekewe float upla hiyo hasara...
kesi ya nyani umpelekee ngedere? huwezi fanikiwa kwenye appeal kama huamini jaribu kuangalia appeal zilizotangulia,baraza ndio waliosahihisha halafu uwakosoe?usipoteze muda
kwanza uwe na hiyo CPA kwanza ndio uikosoe,vinginevyo ni wivu,pia sheria kuwa na origin moja haimaanishi zinafanana, kama ungekuwa una CPA usingekuwa na maswali ya namna hii,CPA ya Tanzania ina mapungufu kama elimu yetu ilivyo na mapungufu katika fani nyingine lakini inazidi kubadadilika kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.