Afanye ACCA/CPA badala ya F6~> College

Afanye ACCA/CPA badala ya F6~> College

Adilinanduguze2

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
1,440
Reaction score
1,969
Kuna kijana amemaliza F4 Div II points 20 Credits ziko vizuri anataka afanye EGM au ECA ili baada aje afanye Bcom/BAF
Lakini kuna wazo kwanini asianze kusotea CPA/ACCA

Kuna advantages na disadvantages gani za kuruka viunzi vya F5

Naomba ushauri wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
F5&6 sio kupoteza muda mkuu,Ni mfumo wa Elimu yetu ndio huko hivyo na utakuwa umefuata utaratibu mzuri Sana wa Elimu na kuongeza CV yako.
Anaweza Anza CPA/ACCA but naona Kama atachukua muda mrefu wa kuattend review classes na hizo review classes zinahitaji hela nyingi kwa kununua material,reg.fees na tuition fees.
Wazo langu ni vizuri asome F5&6 na baada ya hapo akiingia Chuo anaweza Anza Kusema CPA/ACCA huko anasoma masomo ya Chuo,Kwanza akili yake itaongezeka kwa ufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kijana amemaliza F4 Div II points 20 Credits ziko vizuri anataka afanye EGM au ECA ili baada aje afanye Bcom/BAF
Lakini kuna wazo kwanini asianze kusotea CPA/ACCA

Kuna advantages na disadvantages gani za kuruka viunzi vya F5

Naomba ushauri wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka yule mbunge wa nyamagana enzi zile alienda iyo CPA lakini yeye alikuwa amemaliza form 6

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ushauri wangu nikiwa kama niliyesomea kombi ya eca namshauri aende kusoma combination ya E.C.A a some sana spate division one au two, aingie degree then apige ACCA, ukipata acca in akiwa rahisi kupata C.P.A maana atapata msamaha wa kutofanya masomo saba kwahio atanfanya matatu tu ili spate C.P.A. ni muhimu sana hapo kwenye form five a some E.C.A lasivyo asomee certificate
 
Kwa ushauri wangu nikiwa kama niliyesomea kombi ya eca namshauri aende tu aanze certificate, diploma, degree, apige ACCA then amalizie na masomo matatu ya cpa....kiukweli f5 na f6 ya eca inatumika kidogo sana mtu akianza degree....narudia na kuweka msisitizo aende certificate then achukue diploma kuliko f6
1. Certificate Mwaka 1
2. Diploma Miaka 2
3. Degree Miaka 3
Total ______Miaka 6
Halafu ndio afanye CPA au ACCA ??
Muda ni ule ule tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Akisoma cpa akimaliza degree atafanya masomo 10 alafu acca ataenda kuongezea kama masomo sita au zaidi kulingana na exemptions atazopewa (jumla masomo 16 au zaidi kupata cpa na acca).

2.akisoma acca akimaliza degree atafanya masomo sita au zaidi kulingana na exemptions atazopewa, akipata acca akienda cpa atafanya masomo matatu tu kupata cpa (jumla masomo sita au zaidi kupata acca na cpa)

kwa haraka haraka option namba mbili iko poa, ila tu akimaliza degree ahakikishe ameomba exemptions huko acca kwa kutumia transcript yake lasivyo ataambiwa afanye masomo kumi.

Asome kwa mfumo huu

Certificate - Cbe (Tawi la Mbeya) - Kijana inabidi ajifunze kujua kuandika assignment, kuondoa ushamba wa uhuru chuoni, n.k kwa hiki kipindi nashauri aome hapa kwasababu elimu ya hapa ni nyepesi sana hivyo ni nzuri kwa mgeni wa mazingira ya chuoni na kumfanya mwanafunzi afaulu kwasababu ya elimu nyepesi, lengo ni kumu introduce maisha ya chuoni na changamoto zake na kupata cheti kizuri.

Diploma - Mzumbe (Tawi la Mbeya)au T.IA tawi la mikoani - hapa ataanza shule yenyewe sasa aachane na vyuo vyepesi, ni chuo kizuri na nimeshauri asome tawi la mkoani kwa sababu main campus watu wanajaaga sana na wanabana sana

Degree - UDSM, I.A.A - Kwenye degree hapa aende udsm akikosa aende Arusha I.A.A, Ifm usimpelek pale kusema kweli walimu wanafanya elimu iwe ngumu sana na ku disco ni kitu cha kawaida sana
Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ushauri wangu nikiwa kama niliyesomea kombi ya eca namshauri aende tu aanze certificate, diploma, degree, apige ACCA then amalizie na masomo matatu ya cpa....kiukweli f5 na f6 ya eca inatumika kidogo sana mtu akianza degree....narudia na kuweka msisitizo aende certificate then achukue diploma kuliko f6
Safi Sana mambo nibMoto , form 5 & ,,6 is wastage of time & other resources
 
F5&6 sio kupoteza muda mkuu,Ni mfumo wa Elimu yetu ndio huko hivyo na utakuwa umefuata utaratibu mzuri Sana wa Elimu na kuongeza CV yako.
Anaweza Anza CPA/ACCA but naona Kama atachukua muda mrefu wa kuattend review classes na hizo review classes zinahitaji hela nyingi kwa kununua material,reg.fees na tuition fees.
Wazo langu ni vizuri asome F5&6 na baada ya hapo akiingia Chuo anaweza Anza Kusema CPA/ACCA huko anasoma masomo ya Chuo,Kwanza akili yake itaongezeka kwa ufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asome certificate then diploma form 5 & ,6 ni wastage of time , shule ngumu ( kwa science lakini) isiyo na manufaa, then ajiunga na hiyo ACCA or CPA , kumbuka hiyo diplomatic inamwesha kupata kazi sasa form 6 Nani atakuwajili
 
a level ni upuuzi.. na unapoteza muda..

elimu ya kenya haina huo ujinga wa a level...

kama una uwezo.. baada ya form 4.. mtoto aende college tu diploma way.. au aanze cpa au dit level za chini
 
a level ni upuuzi.. na unapoteza muda..

elimu ya kenya haina huo ujinga wa a level...

kama una uwezo.. baada ya form 4.. mtoto aende college tu diploma way.. au aanze cpa au dit level za chini
Kenya hata US hawana hiyo kitu
 
afanye cpa ACCA ni ghali kuliko maelezo(jaribu kufuatilia) wakati cpa ataanza level za chini vizuri ambazo zinaendana na elimu aliyonayo ECA pia ni nafuu na akimaliza cpa ni qualification inayomwezesha kufanya masters chuo chochote tanzania
 
Kuna kijana amemaliza F4 Div II points 20 Credits ziko vizuri anataka afanye EGM au ECA ili baada aje afanye Bcom/BAF
Lakini kuna wazo kwanini asianze kusotea CPA/ACCA

Kuna advantages na disadvantages gani za kuruka viunzi vya F5

Naomba ushauri wadau

Sent using Jamii Forums mobile app

Daah sijui kama nimechelewa kukujibu au laaa!!
Majibu sahihi haya hapa:-
Kama anataka kusomea uhasibu huko mbeleni haina haja ya kwenda Advance..
Aanze na ATEC I anafanya masomo Manne tu.
Then apige ATEC II anafanya pia masomo Manne tu.
Kama yuko vizuri kichwani, ndani ya mwaka mmoja hiyo mitihani yote ataweza kuing'oa kwa May na November sessions..
Baada ya hapo akifaulu ATEC II, atapewa cheti cha Accounting Technician ambacho ni sawa na Diploma ya uhasibu ya miaka miwili..
Kwa hiyo anaapply moja kwa moja chuo kikuu kusoma degree ya uhasibu kama vile BAF, BCOM etc...
Kumbuka aliyeenda advanced level bado yuko form six wakati wewe ndo unaenda kuanza mwaka wa kwanza chuo kikuu..

Baada ya Kumaliza Degree yako rudi tena kwenye CPA uanze na Intermediate Level masomo SITA then malizia na FINAL LEVEL masomo MANNE tu unakuwa CPA (T)..
Acha kurefusha elimu. Tunaoenda huko A LEVEL ni ambao hatujui hii short cut..

Ukihitaji maelezo zaidi nitafute:
Tel. no. 0713388317/0757749641
Mimi nimesoma hiyo BAF, ACCA, CPA, MSc Finance and Investment na Ninafundisha CPA from ATEC I TO FINAL LEVEL, NAFUNDISHA PIA ACCA, NAFUNDISHA NA CPB kwa watu wa Bank.. NIKO DODOMA. NITAFUTE PLEASE UKIHITAJI MSAADA!! USIPOTEZE MUDA WAKO KWA KUREFUSHA ELIMU YA ADVANCE...
Take my words!
 
Daah sijui kama nimechelewa kukujibu au laaa!!
Majibu sahihi haya hapa:-
Kama anataka kusomea uhasibu huko mbeleni haina haja ya kwenda Advance..
Aanze na ATEC I anafanya masomo Manne tu.
Then apige ATEC II anafanya pia masomo Manne tu.
Kama yuko vizuri kichwani, ndani ya mwaka mmoja hiyo mitihani yote ataweza kuing'oa kwa May na November sessions..
Baada ya hapo akifaulu ATEC II, atapewa cheti cha Accounting Technician ambacho ni sawa na Diploma ya uhasibu ya miaka miwili..
Kwa hiyo anaapply moja kwa moja chuo kikuu kusoma degree ya uhasibu kama vile BAF, BCOM etc...
Kumbuka aliyeenda advanced level bado yuko form six wakati wewe ndo unaenda kuanza mwaka wa kwanza chuo kikuu..

Baada ya Kumaliza Degree yako rudi tena kwenye CPA uanze na Intermediate Level masomo SITA then malizia na FINAL LEVEL masomo MANNE tu unakuwa CPA (T)..
Acha kurefusha elimu. Tunaoenda huko A LEVEL ni ambao hatujui hii short cut..

Ukihitaji maelezo zaidi nitafute:
Tel. no. 0713388317/0757749641
Mimi nimesoma hiyo BAF, ACCA, CPA, MSc Finance and Investment na Ninafundisha CPA from ATEC I TO FINAL LEVEL, NAFUNDISHA PIA ACCA, NAFUNDISHA NA CPB kwa watu wa Bank.. NIKO DODOMA. NITAFUTE PLEASE UKIHITAJI MSAADA!! USIPOTEZE MUDA WAKO KWA KUREFUSHA ELIMU YA ADVANCE...
Take my words!
Hii ndio aina ya ushauri niliyokuwa nauhitaji. Ahsante sana
Ila kwa kuongeza tuu, jee akimaliza ATEC II anaweza kuendelea Intermediary mpaka Professional levels ??
 
Daah sijui kama nimechelewa kukujibu au laaa!!
Majibu sahihi haya hapa:-
Kama anataka kusomea uhasibu huko mbeleni haina haja ya kwenda Advance..
Aanze na ATEC I anafanya masomo Manne tu.
Then apige ATEC II anafanya pia masomo Manne tu.
Kama yuko vizuri kichwani, ndani ya mwaka mmoja hiyo mitihani yote ataweza kuing'oa kwa May na November sessions..
Baada ya hapo akifaulu ATEC II, atapewa cheti cha Accounting Technician ambacho ni sawa na Diploma ya uhasibu ya miaka miwili..
Kwa hiyo anaapply moja kwa moja chuo kikuu kusoma degree ya uhasibu kama vile BAF, BCOM etc...
Kumbuka aliyeenda advanced level bado yuko form six wakati wewe ndo unaenda kuanza mwaka wa kwanza chuo kikuu..

Baada ya Kumaliza Degree yako rudi tena kwenye CPA uanze na Intermediate Level masomo SITA then malizia na FINAL LEVEL masomo MANNE tu unakuwa CPA (T)..
Acha kurefusha elimu. Tunaoenda huko A LEVEL ni ambao hatujui hii short cut..

Ukihitaji maelezo zaidi nitafute:
Tel. no. 0713388317/0757749641
Mimi nimesoma hiyo BAF, ACCA, CPA, MSc Finance and Investment na Ninafundisha CPA from ATEC I TO FINAL LEVEL, NAFUNDISHA PIA ACCA, NAFUNDISHA NA CPB kwa watu wa Bank.. NIKO DODOMA. NITAFUTE PLEASE UKIHITAJI MSAADA!! USIPOTEZE MUDA WAKO KWA KUREFUSHA ELIMU YA ADVANCE...
Take my words!
Vitu kama hivi hatukuvijua kabla, vinginevyo wala tusingehangaika kiasi tulichohangaika.
Shukran sana mkuu
 
Dah hizo Atec1 na Atec anavozitaja utazan in vitu simple in ngumu kupenya balaa. Na ukifeli unapoteza muda na pesa nyingii
 
Kuna kijana amemaliza F4 Div II points 20 Credits ziko vizuri anataka afanye EGM au ECA ili baada aje afanye Bcom/BAF
Lakini kuna wazo kwanini asianze kusotea CPA/ACCA

Kuna advantages na disadvantages gani za kuruka viunzi vya F5

Naomba ushauri wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawezakuanza ACCA/CPA tokea Form IV; hasara ni kwamba kitaaluma elimu yako utahesabiwa uliishia Form. ACCA/CPA siyo academic bali ni profession.

Mimi nilipita mfumo unaofikiria lakini baadaye nikaja ongeza na MSc Finance
 
Unawezakuanza ACCA/CPA tokea Form IV; hasara ni kwamba kitaaluma elimu yako utahesabiwa uliishia Form. ACCA/CPA siyo academic bali ni profession.

Mimi nilipita mfumo unaofikiria lakini baadaye nikaja ongeza na MSc Finance
kwani academic ina umuhimu gani? mi naona ni wasiwasi tu au labda kama unataka kuwa mwalimu
 
Back
Top Bottom